Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Ktk habari ITV ya saa 2 wameripoti kuwa kamati iliyoundwa kuchunguza ajali ya mv spice imeshahuri wenye meli na viongozi wa serikali waliohusika wakamatwe, imeripotiwa kuna baadhi wamekwisha kukamatwa je? hii ni danganya toto kama tulivyozoea huku bara ama wanadhamiria kuwawajibisha? Pia kamati hiyo imeshauri kwa wenye meli hiyo kulipa fidia kwa waliopoteza ndugu zao milioni 10 kwa kila familia , milioni 7.5 kwa waliopata kilema na madhara mbalimbali na milion 5 kwa walionusurika
nawasilisha
nawasilisha