kuongea kingereza au kufahamu kiingerza hasa katika siasa ni OPTIONAL mbona "makamba" wa JAPANI, CHINA, KOREA, UFARANSA, USPANIA nk hawajui kingereza na wakilazimisha kukiongea wanachakachua ile mbaya, na wako confortable
kuongea kingereza au kufahamu kiingerza hasa katika siasa ni OPTIONAL mbona "makamba" wa JAPANI, CHINA, KOREA, UFARANSA, USPANIA nk hawajui kingereza na wakilazimisha kukiongea wanachakachua ile mbaya, na wako confortable
suala hapa anajua au hajui na wala si kwamba usipojua kimombo ni kiongozi mbovu na kwa mbwembwe zake Makamba angekuwa anajua angekuwa anakichomekea kama viongozi wetu wengine wafanyavyo
Kupenda kuongea kiingereza ni kuendekeza ukoloni mambo leo, nenda france au germany halafu kajifanye unapenda kuongea kiiingereza ndio utaona kitakacho kutokea,ni vizuri kupenda lugha yetu adimu ya kiswahili so Makamba hana kosa ila anadumisha lugha.Hivyo hivyo Mgosi ongea hata kishambaa tutakuelea kwani wote sisi ni wabantu, kama ni mbwai mbwai halafu ekai mambeza kabisa inywi.