Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
WanaJF;
Kama mtu huyu yupo hapa jamvini naomba amwambie Moderator afute hii thread, otherwise naomba kujua mtu huyu yupo wapi na anafanya nini. Nitaanza kumwelezea. Karibu
Ramadhani Mkangala alikuwa Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa UCLAS (Ardhi University) miaka ya 2001 - 2004. Sikumbuki exactly when but kwa wale waliokuwa mlimani na yule Rais wa DARUSO aliesaliti wanafunzi atakuwa anamjua. Alikuwa anasomea Bsc. Land Management and Valuation. Alisimamishwa kwenye ule mgomo na baadae nikamuona tena na nikamsisitiza but kwa bahati mbaya contacts zake sina.
Huyu mtu nilipata nafasi nikaongea nae nikamuomba aingie kwenye siasa. Siasa inataka mtu ambae anajua kuongoza, kujenga hoja with reference za watu wanaoheshimika kama Mandela, Nyerere, Nkurumah, convising power, kujitolea n.k. Lakini ukiwa na WOGA uliojengwa na WAZEE WA CCM unaweza ukaogopa. Huyu bwana kwa muda mfupi nilimuona anafaaa. Nakumbuka baada ya yule rais (jina linakuja na kupotea) alipokimbia Rama alipewa muda wa kuongea pale Nkurumah hall alifanya wonder mpaka watu tukajiuliza kwa nini alienda kusomea mambo ya Ardhi Management kule UCLAS.
Ushauri wangu kama kuna mtu ana contacts zake naomba anitumie kwenye PM yangu nitajitahidi kumtafuta but nashawishi kama hayupo kwenye siasa naomba CHADEMA (Chama ninachoshabikia, sina uanachama na wala si;pendi kwa sasa) mumtafute huyu bwana. You will enjoy kama akiwa moja ya vijana wakishirikiana na akina Zitto na John.
Naomba kutoa hoja kama kuna mtu ana mawazo na mchango mwingine.
Asanteni kwa muda wenu
Kama mtu huyu yupo hapa jamvini naomba amwambie Moderator afute hii thread, otherwise naomba kujua mtu huyu yupo wapi na anafanya nini. Nitaanza kumwelezea. Karibu
Ramadhani Mkangala alikuwa Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa UCLAS (Ardhi University) miaka ya 2001 - 2004. Sikumbuki exactly when but kwa wale waliokuwa mlimani na yule Rais wa DARUSO aliesaliti wanafunzi atakuwa anamjua. Alikuwa anasomea Bsc. Land Management and Valuation. Alisimamishwa kwenye ule mgomo na baadae nikamuona tena na nikamsisitiza but kwa bahati mbaya contacts zake sina.
Huyu mtu nilipata nafasi nikaongea nae nikamuomba aingie kwenye siasa. Siasa inataka mtu ambae anajua kuongoza, kujenga hoja with reference za watu wanaoheshimika kama Mandela, Nyerere, Nkurumah, convising power, kujitolea n.k. Lakini ukiwa na WOGA uliojengwa na WAZEE WA CCM unaweza ukaogopa. Huyu bwana kwa muda mfupi nilimuona anafaaa. Nakumbuka baada ya yule rais (jina linakuja na kupotea) alipokimbia Rama alipewa muda wa kuongea pale Nkurumah hall alifanya wonder mpaka watu tukajiuliza kwa nini alienda kusomea mambo ya Ardhi Management kule UCLAS.
Ushauri wangu kama kuna mtu ana contacts zake naomba anitumie kwenye PM yangu nitajitahidi kumtafuta but nashawishi kama hayupo kwenye siasa naomba CHADEMA (Chama ninachoshabikia, sina uanachama na wala si;pendi kwa sasa) mumtafute huyu bwana. You will enjoy kama akiwa moja ya vijana wakishirikiana na akina Zitto na John.
Naomba kutoa hoja kama kuna mtu ana mawazo na mchango mwingine.
Asanteni kwa muda wenu