Yupo wapi Professor Silas Lwakabamba Mtanzania Mwanzilishi wa Kigali Institute-KIST

Nafurahi kama nimekuchekesha maana kucheka katika fikra hizi ni kitu adimu sana. Luhanga alikwenda sabatical leave uk baada tu ya kuondoka madarakani.
Ukiacha hayo, engineering consultancy bado tunaweza kupewa na watu hawa tunaowadharau kama ni wazee. Wanafanya hivyo sehemu nyingi tu. Namna tulivyowatumia hawa wataalamu ni ngumu kwao baada ya muda mrefu kazini kuanzisha kampuni halafu wakaziendesha kama wafanyabiashara. Impact yake ni kuwa tunawafanya hata wanaochipukia kuogopa kukaa ndani kwa kuhofia haya wanaoyaona kwa wale waliowatangulia.
Kama Kingunge analipwa kwa kulala ndani ya siasa za tanzania, je hawa wasomi ambao wanaweza kuwa na michango mikubwa ya maendeleo kwa nchi yetu wanalipwa wafanye nini? Ndio yale ya Prof Machunda na safari yake ya ukerewe
Sasa mzee inatupasa kuchangia mawazo yetu katika academia ya Tanzania, Labda Prof Luhanga ameamua kwenda kufundisha UDOM
 
Sasa mzee inatupasa kuchangia mawazo yetu katika academia ya Tanzania, Labda Prof Luhanga ameamua kwenda kufundisha UDOM
Mahitaji ya walimu wa vyo vikuu ni makubwa kwasababu vimeongezeka kwa kasi sana bila maandalizi ya kutosha. Kwa vyovyote vile bado tutahitaji kuwatumia wazoefu na vijana wakati jitihada za makusudi zinafanywa kuziba mapengo yaliyokuwepo.
Luhanga na wengine wengi wanaweza kutoa michango yao maana future ya Taifa letu iko katika educated citizens. Imagine how would we be competing or having competing force without educated working force?
 
Mahitaji ya walimu wa vyo vikuu ni makubwa kwasababu vimeongezeka kwa kasi sana bila maandalizi ya kutosha. Kwa vyovyote vile bado tutahitaji kuwatumia wazoefu na vijana wakati jitihada za makusudi zinafanywa kuziba mapengo yaliyokuwepo.
Luhanga na wengine wengi wanaweza kutoa michango yao maana future ya Taifa letu iko katika educated citizens. Imagine how would we be competing or having competing force without educated working force?
Kweli kabisa, Nina mpango wa kumwandikia Waziri pamoja na waziri anayehusika na Elimu juu ya kuandaa mpango wa kufany na kuwavutia wote kurudi Tanzania
 
Kweli kabisa, Nina mpango wa kumwandikia Waziri pamoja na waziri anayehusika na Elimu juu ya kuandaa mpango wa kufany na kuwavutia wote kurudi Tanzania
Josh, pamoja na ujasiri wako wa kumuona Waziri,this is not the right direction.
Wataalam wetu wengi are not entreprenurial risk takers.
Wengi wanaona kuajiriwa ndio maisha.
Luhanga ni Mechanical/au electrical engineer field ambayo ina mambo mengi sana yanayo hitajika nchini.
Juzi juzi tu nimetembelea kariakoo nakuona vijana wadogo wakiuunda electrical iverters na kuziuza kwa watu mbali mbali.
Baada ya kuongea na wataalam nikaambiwa vifaa hivyo vya kibongo ni madhubuti sana.
Pale ubungo kuna kijana wa kijiweni anatengeneza welding transformers na electrical chargers.
Hivi ndio vitu nilivyotegemea wataalam wetu waweze kuvifanya kwa utaalam na kuokoa fedha nyingi tunazotumia kuagiza nje vitu hivi.
Tatizo kubwa wataalam wetu wanaogopa sana kutoka jasho na kuchukua risk ya kuanzisha miradi katika fani zao.
 
Josh, pamoja na ujasiri wako wa kumuona Waziri,this is not the right direction.
Wataalam wetu wengi are not entreprenurial risk takers.
Wengi wanaona kuajiriwa ndio maisha.
Luhanga ni Mechanical/au electrical engineer field ambayo ina mambo mengi sana yanayo hitajika nchini.
Juzi juzi tu nimetembelea kariakoo nakuona vijana wadogo wakiuunda electrical iverters na kuziuza kwa watu mbali mbali.
Baada ya kuongea na wataalam nikaambiwa vifaa hivyo vya kibongo ni madhubuti sana.
Pale ubungo kuna kijana wa kijiweni anatengeneza welding transformers na electrical chargers.
Hivi ndio vitu nilivyotegemea wataalam wetu waweze kuvifanya kwa utaalam na kuokoa fedha nyingi tunazotumia kuagiza nje vitu hivi.
Tatizo kubwa wataalam wetu wanaogopa sana kutoka jasho na kuchukua risk ya kuanzisha miradi katika fani zao.
Ukweli ni kwamba watu hawa ni waoga sana katika kufanya mambo yao binafsi ya kuanzisha miradi mikubwa ambayo ni Sustainable na katika uchumi ambayo itakuwa na impact kubwa sana katika Taifa la Tanzania, Watu hawa mara nyingi huwa na wanabattle kwa ajili ya kupata miradi ya serikali na kuwa washauri tu, Kuna vacuum kubwa sana katika kila nyanja ya uchumi na maendeleo ya Taifa hili
 
Josh, pamoja na ujasiri wako wa kumuona Waziri,this is not the right direction.
Wataalam wetu wengi are not entreprenurial risk takers.
Wengi wanaona kuajiriwa ndio maisha.
Luhanga ni Mechanical/au electrical engineer field ambayo ina mambo mengi sana yanayo hitajika nchini.
Juzi juzi tu nimetembelea kariakoo nakuona vijana wadogo wakiuunda electrical iverters na kuziuza kwa watu mbali mbali.
Baada ya kuongea na wataalam nikaambiwa vifaa hivyo vya kibongo ni madhubuti sana.
Pale ubungo kuna kijana wa kijiweni anatengeneza welding transformers na electrical chargers.
Hivi ndio vitu nilivyotegemea wataalam wetu waweze kuvifanya kwa utaalam na kuokoa fedha nyingi tunazotumia kuagiza nje vitu hivi.
Tatizo kubwa wataalam wetu wanaogopa sana kutoka jasho na kuchukua risk ya kuanzisha miradi katika fani zao.
Hapo kaka umenena. Tatizo ni kuogopa kuchukua risk maana kuna mambo mengi ya kufanya kwenye field za ufundi sasa hivi. Na tukumbuke most of these senior citizens attitude zao hazijakaa kufanya biashara. Wanataka waogopwe ogopwe tu.Hapo kuna mtihani mkubwa kweli kwasababu we need these guys kwa ajiri ya kuendelea kufundisha na wao waweze kujipatia kipato wasiione TZ kama haina mpango
 
Hapo kaka umenena. Tatizo ni kuogopa kuchukua risk maana kuna mambo mengi ya kufanya kwenye field za ufundi sasa hivi. Na tukumbuke most of these senior citizens attitude zao hazijakaa kufanya biashara. Wanataka waogopwe ogopwe tu.Hapo kuna mtihani mkubwa kweli kwasababu we need these guys kwa ajiri ya kuendelea kufundisha na wao waweze kujipatia kipato wasiione TZ kama haina mpango
Ni kweli kabisa juu ya watu hawa na katika jamii yote
 
Naililia sana Tanzania na wazazi wetu na pia kuona kuwa watu wachache ndio waifanya vitu vya ajabu sana, tena viongzo hawana hata vision ya uongozi
 
Kweli kuna watanzania wengi wenye sifa na moyo wa kutumika, lakini kwa kutojihusisha kwa karibu na wanasiasa majina yao yamepotea!.

Mwezi uliopita katika jamvi humu, watu walimjadili mtanzania ambaye sikutegemea kuwa ameandika majarida mengi kiasi hicho na bado wengi huko nyumbani hawakumjua /hajulikani.
Nenda Google mtafute' Godfrey Mwakikagile' uone CV yake
 
Kweli kuna watanzania wengi wenye sifa na moyo wa kutumika, lakini kwa kutojihusisha kwa karibu na wanasiasa majina yao yamepotea!.

Mwezi uliopita katika jamvi humu, watu walimjadili mtanzania ambaye sikutegemea kuwa ameandika majarida mengi kiasi hicho na bado wengi huko nyumbani hawakumjua /hajulikani.
Nenda Google mtafute' Godfrey Mwakikagile' uone CV yake
Kuna watu wengi sana, na Tena Sisi kwa kuwa tumezoea Siasa ndio maana tumesahau kabisa kuwa Elimu yetu na pia siasa imekuwa kama vile ndio chakula na sijui tunakwenda wapi
 
Tazama Tanzania ilivyojaliwa kuwa na wasomi lakini kwani kuna shida gani Tanzania jamani
 
Sisi watanzania lazima turudishe fadhila kwa taifa letu kwa kutoa michango hasa sisi jamii ya kisomi
 
Kuna mwingine Prof Ainea Kimaro naye yuko KIST akifanya vitu vyake ukimtafuta kwenye Google kajaa,amejenga na kusaidia system ya BIOGAS ambayo sasa inatumika kwenye magereza na mashule na shule nyingi sasa hawatumii kuni tena na


Rwanda award for 'sewage' cooking
A Rwandan prison project, which reduces cooking fuel bills by using methane gas from inmates' toilet waste, has won a global environment award.

The Kigali Institute of Science and Technology has helped prisons cut their firewood spending by $44,000 (£25,000).
The residue sewage is then used as fertiliser on crops to feed each institution's 10,000 prisoners.
"Biogas kills two birds with one stone," Ainea Kimaro, the Ashden Award winning project head told the BBC.
Mr Kimaro received his $53,000 (£30,000) prize at a ceremony in London on Wednesday for underlining the vital role which small-scale sustainable energy can play in tackling both climate change and poverty in Africa, the award organisers said.
Odour-free
Most biogas plants are small, but Mr Kimaro's big tanks resemble giant brick beehives - constructed in a pit which is covered on completion.


Rwanda has a huge prison population with some 120,000 suspects awaiting trail for their alleged part in the 1994 genocide in which some 800,000 Tutsis and moderate Hutus were killed.
Five of the country's largest jails now boast biogas plants, either in operation or under construction.
At Cyangugu prison, with biogas now fuelling five of the nine boilers in the prison kitchen, their firewood bill has been cut by more than half.
"The firewood savings are excellent - they really make a difference for us," a Cyangugu prison warden said, adding that the odour-free compost had done wonders for the prison gardens.
"Look at all these bananas! This fertiliser really is the best," he said.
Mr Kimaro said the fact that the methane gas was generated from sewage had not put prisoners off their food. "I myself I have a biogas plant in my house! It's a tropical solution to a tropical problem," he said.

Story from BBC NEWS:
 
Asante sana kwa michango yako sasa sisi Watanzania hivyo kuna nini nyumbani kwetu?? Mbona mambo haya hayapo nyumbani??
 
Asante sana kwa michango yako sasa sisi Watanzania hivyo kuna nini nyumbani kwetu?? Mbona mambo haya hayapo nyumbani??
Nyumbani wapo watu wanajua kila kitu. Wasomi wengi hawana nafasi kama hawawezi kuwaangukia miguuni.
Jack of all trades and master of none
 
Kuna haja ya Wasomi wetu kubadilika maana hakuna la maana kama sio kusaidia kwenu na pia utapata fadhila kubwa sana toka home
 
Wadau sio hayo tuu udsm wenyewe engineering pale walimu wanatukimbia gud example prof mshana ,kikubwa kibaya c twapiga porojo huku elimu yashuka kila mwezi utamsikia msanii wa sinagogi(ikulu) akipiga porojo na sasa hatujui chuo chao kipya udom walimu watatoka wapi wasije wakaja dot com kibao kama dr mb wazir nchimbi na nesi aisha kigoda bt tym of changes yaja wadau
 
Wameenda London, India kulecruit walimu kibao wa kufundisha UDOm na sijui chuo Kipi kitakuwa na watu wengi sana
 
Kuna haja ya kulisaidia Taifa la Tanzania katika mambo yake ya msingi na Taifa letu hasa sisi Jamii ya kisomi
 
Kuna mwingine Prof Ainea Kimaro naye yuko KIST akifanya vitu vyake ukimtafuta kwenye Google kajaa,amejenga na kusaidia system ya BIOGAS ambayo sasa inatumika kwenye magereza na mashule na shule nyingi sasa hawatumii kuni tena :
Samahani san Mkuu Koba, Ainea Kimaro SiYO Proffessor wa KIST, ila a talented technical person.
Miradi uliyyoitaja kaifanya huko Rwanda na sasa yupo Ukonga na anafanya vitu vyake.
Alikuwa Ofisini kwangu last week, hivyo nafahamu ninachikiongelea
 
Back
Top Bottom