Yupo wapi Professor Silas Lwakabamba Mtanzania Mwanzilishi wa Kigali Institute-KIST

Rwanda kuna opportunities nyingi tu za kazi, tena kazi za kule zinalipa vizuri tu ukilinganisha na bongo. Kama mtu umefanikiwa kupata kazi Rwanda au nchi yoyote ile ya east africa ni bora uende na ufanye. Nilikuwepo Huko Kigali, wabongo wengi tu wapo wanafanyakazi na life inaenda vizuri tu.
 
Rwanda kuna opportunities nyingi tu za kazi, tena kazi za kule zinalipa vizuri tu ukilinganisha na bongo. Kama mtu umefanikiwa kupata kazi Rwanda au nchi yoyote ile ya east africa ni bora uende na ufanye. Nilikuwepo Huko Kigali, wabongo wengi tu wapo wanafanyakazi na life inaenda vizuri tu.
Nakubaliana na wewe kabisa maana kuna Wataalamu wengi sana toka SUA na UDSM ambao wanakwenda huko kufanya kazi, hata hivyo wabongo wanao baki hapa ni kwa ajili ya uzalendo tu
 
Karudi kwao Rwanda....

....SIAMINI KAMA NI MTANZANIA,UKIANGALIA POST ALIZOSHIKA RWANDA UNAWEZA KUHISI KITU.
Kama ni Mtanzania basi ana asili ya huko Rwanda na ameamua kurudi kwenye asili yake aweze kuwasaidia wanao muhitaji.
 
....SIAMINI KAMA NI MTANZANIA,UKIANGALIA POST ALIZOSHIKA RWANDA UNAWEZA KUHISI KITU.
Kama ni Mtanzania basi ana asili ya huko Rwanda na ameamua kurudi kwenye asili yake aweze kuwasaidia wanao muhitaji.
Hahaha unanichesha hapa kidogo, maana unaweza kujua kwa kiasi gani Taifa la Tanzania halithamini mchango wa Watanzania wakiwa ndani
 
Kuna mama mmoja Professor Masanja alikuwa idara ya Math UDSM aikwenda Sabattical leave KIST,mpaka leo hajarudi bado yuko huko anakula bata!!!!!
 
Hahaha unanichesha hapa kidogo, maana unaweza kujua kwa kiasi gani Taifa la Tanzania halithamini mchango wa Watanzania wakiwa ndani
ni kweli kabisa,acha watu wafanye kazi mahali ambapo umuhimu wao unaonekana kuliko kujali uzalendo ambao hauna manufaa yoyote,warwanda ni watu wazuri tu kufanya nao kazi,
 
Huyu jamaa ali'cut' na ku'paste' curricula ya uhandisi ya UDSM huko KIST. Kelele za bure.. hakuna cha chuo cha mfano wala nini ... pia tembelea KIST -utakuwa dissapointed.

Halafu huyu jamaa arudi hali ilishafika saa 11? Kama alipata PhD miaka 35 iliyopita atakuwa amefikia umri wa kustaafu. tuagalie mbele

....wenzako wanasonga mbele wewe kalia majungu tuu!
 
Namjua huyu mama...kasomea Ujerumani na ana binti yake anaitwa sijui Angela na kijana aitwaye Moses
Kuna Wanataaluma Kibao wanaondoka kwenda Nje kwa ajili ya kufanya kazi huko, Na Taifa linabaki likiwa halina uwezo wa kufanya mambo
 
....SIAMINI KAMA NI MTANZANIA,UKIANGALIA POST ALIZOSHIKA RWANDA UNAWEZA KUHISI KITU.
Kama ni Mtanzania basi ana asili ya huko Rwanda na ameamua kurudi kwenye asili yake aweze kuwasaidia wanao muhitaji.
Kwa mtazamo wa haraka tunaweza sema hiyo ndio sababu. Lakini hii trend ya watu wengine wengi kwenda huko huko inatoa picha nyingine tofauti kwamba kuna kitu watu wanakikimbilia kule. Kama tungekuwa watu wa kutafuta majawabu ya kuondoa tatizo tungelisema kuwa ok kuna issues nyingine zaidi ya kukimbilia kwenye asili.Ila tulivyo tuna majibu rahisi kwenye maswali magumu kama kawaida.
 
Mkuu wangu kuna haja hata serikali yetu kuona na kuwajengea mazoea ya kuona watu kama hawa wanarudi Tanzania na kufanya kazi hapa Tanzania, Sasa Jk anaweza kufanya na kutoa motisha ya kutosha na kuwafanya watu hawa warudi Tanzania na Kujenga Taifa letu Tanzania

Penye mit hakuna wajenzi.
Siasa za ubinafsi na kudanganya wadanganyika wa bongo. Uzalendo zirooo
 
Tatizo ni umri wa marais wetu wanapoingia ofisini. Nyerere aliiingia ofisini akiwa kijana akaweza kufanya hayo aliyofanya, baada ya umri kuongezeka alitaka kuwa baba wa familia; akisema hakuna ubishi. Hawa auzee umeshawaingia kujenga nchi ni kazi. Kagame kaweka mwaziri vijana wengi ambao wanataka kuonyesha tofauti na wana vision ya kitaifa. JE SISI VISION YETU baada ya ujamaa na kujitegemea ni nini kama taifa? serikali yetu ifanye kam nchi nyingi za ulaya ambapo ajira ya maprofesa inasimamiwa na serikali kuu na hivyo kutumiwa na serikali hizo katika kupanga mikakati ya baadaye badala ya majungu!!
 
Mimi nimesikia habari za huyo Profesa na wengine kama Prof. Mshana na wengine wengi. tukubali kuwa maendeleo hayaji bila kuwekeza katika elimu na teknolojia. hivi hatujiulizi inakuwaje nchi kama Rwanda ambayo mwaka 1994 ilikuwa katika matatizo makubwa ya mauaji ya kimbari leo hii imekuwa juu katika teknolojia na elimu. lazima tukae chini tuwaze vipau mbele vyetu sio kila siku kuwaza kuongeza mishahara ya wabunge au kujenga vyuo bila mpangilio kama UDOM. kweli UDOM is and was a good idea but wrongly implemented and clouded with political judgment rather than technical one. mimi naumia sana kwa mambo tunayofikiri yana maana hapa kwetu..

wakati mwingine najiuliza what is the meaning of election in country like ours, is it to elect leader or a chance to squander resources of a country. hela yote iliotumika katika uchaguzi wa mwaka 2005 inaweza kuanzisha vyuo kama KIST vingapi? kwani demokrasia ni uchaguzi tu au kuna mambo mengine zaidi ya kuchagua kiongozi. We cant develop with this kind of leadership be it CCM or Chadema if you don't sit down and draw a consensus agenda for development and agreed on the implementation. We have bankrupt leader who have no more to deliver rather than coming every day with election plan like Kilimo Kwanza or MKUKUTA.

Naumia na wanasiasa wetu.
 
Kama Kingunge bado anadunda mzigo mpaka leo ina shida gani kwa huyu prof? Halafu kama kichwani hajazeeka, nani anayekura hasara? Badala ya kumtumia kwa consultancy kwenye maeneo mengi ya kitaalamu eti tunasema imefika saa kumi na moja.
Kwenye hii ni TZ zaidi ya uijuavyo.Prof Luhanga alipotoka tu UDSM akaenda kufundisha Uingereza...sasa na yeye sio mzee?
Nchi yetu bwana...wataalamu ndio wanazeeka, wanasiasa wanazidi kuwa vijana kadri muda unavyokwenda.

Wacha kuchekesha watu mkuu,Kingunge anadunda mzigo gani? kazi kulala fofofo pale bungeni huku akijua noti zinaingia kila kona pale Ubungo!
Kwa taarifa yako Prof Luhanga sasa hivi anakula tu laga yake karibu na maskani yake, hana mradi wowote wa kitaalam.
Tatizo kubwa la wataalam wetu ni kutegemea ajira ya serikali kukidhi maisha.
Kuna miradi mingi ambayo wangeweza kufanya(siyo kufuga ng'ombe na kuku) na kushirikiana na wataalam wengine duniani, hapa Tanzania.
Hata hivyo wale wataalam waliojitolea kufanya hivyo wanapigwa vita sana na waaalam hao hao walioajiriwa serikalini, Mfano ni wa Dr Masau wa Heart Institute.
 
..nilifikiri Lwakabamba ni Mnyarwanda, na amerudi kwao baada ya kuishi na kufanya kazi uhamishoni, Tanzania.

..tatizo letu ni kwamba wasomi wetu wakirudi toka ughaibuni walipoenda kutafuta maisha, hatuwapokei vizuri na kujaribu kuchunguza ni kitu gani walichojifunza walipokuwa nje ya nchi.
 
ile serikali ya CCM ukisoma tuu hawachelewi kukutupa mkoani tena kwa kazi tofauti na uliyosomea ili ukimbie tuu maana wewe ni tishio kwao,akili zao zilivyo mbovu wanaweza kuchukua Daktari na uhaba wote wa madaktari wakampa kazi kazi kama afisa tawala wa wilaya
 
Kazi nzuri sana ndugu zangu wote kila mmoja wetu ana jukumu ambalo anaweza kukusaidia Taifa hili kupiga hatua katika Maendeleo
 
Lengo letu kuona watu hawa ambao kwa kiasi kikubwa sana wanasomeshwa na pesa zetu na mababa zetu wanarudi na kurudisha fadhila kwao na sio kufanya hivi, siyo haki katika Taifa hili
 
Wacha kuchekesha watu mkuu,Kingunge anadunda mzigo gani? kazi kulala fofofo pale bungeni huku akijua noti zinaingia kila kona pale Ubungo!
Kwa taarifa yako Prof Luhanga sasa hivi anakula tu laga yake karibu na maskani yake, hana mradi wowote wa kitaalam.
Tatizo kubwa la wataalam wetu ni kutegemea ajira ya serikali kukidhi maisha.
Kuna miradi mingi ambayo wangeweza kufanya(siyo kufuga ng'ombe na kuku) na kushirikiana na wataalam wengine duniani, hapa Tanzania.
Hata hivyo wale wataalam waliojitolea kufanya hivyo wanapigwa vita sana na waaalam hao hao walioajiriwa serikalini, Mfano ni wa Dr Masau wa Heart Institute.
Nafurahi kama nimekuchekesha maana kucheka katika fikra hizi ni kitu adimu sana. Luhanga alikwenda sabatical leave uk baada tu ya kuondoka madarakani.
Ukiacha hayo, engineering consultancy bado tunaweza kupewa na watu hawa tunaowadharau kama ni wazee. Wanafanya hivyo sehemu nyingi tu. Namna tulivyowatumia hawa wataalamu ni ngumu kwao baada ya muda mrefu kazini kuanzisha kampuni halafu wakaziendesha kama wafanyabiashara. Impact yake ni kuwa tunawafanya hata wanaochipukia kuogopa kukaa ndani kwa kuhofia haya wanaoyaona kwa wale waliowatangulia.
Kama Kingunge analipwa kwa kulala ndani ya siasa za tanzania, je hawa wasomi ambao wanaweza kuwa na michango mikubwa ya maendeleo kwa nchi yetu wanalipwa wafanye nini? Ndio yale ya Prof Machunda na safari yake ya ukerewe
 
Back
Top Bottom