Huyu ni mmojawapo wa wachezaji waliosajiliwa kwa mbwembwe kipindi cha dirisha kuu la usajili msimu huu. Cha kushangaza alicheza mechi zisizozidi mbili za mashindano. Tangu mwezi Septemba 2023 hajaonekana tena akichezea Singida Fountain Gate/Singida Big Stars.
Je sababu ni ipi? majeruhi, mkataba ulivunjwa, hakukamilisha usajili au kuna kipi kinaendelea
Je sababu ni ipi? majeruhi, mkataba ulivunjwa, hakukamilisha usajili au kuna kipi kinaendelea