DNA ninavyoona ni advanced kwa kuwa before mababu zetu walikuwa wanatumia sana hata alama za viganjani pamoja na damu i mean blood group lakini siku hizi naona baada ya science and technology kuwa juu DAN naon ni bora zaidi na inauhakika zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.