KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Ivi kwanini mwanao ni "damu" yako na sio DNA yako? Damu inahusikaje apo wakati sperms ndo zilihusika? Kama ni damu, kwann mara nyingi group hazilingani?
javascript acha uchokoziunanikumbusha jamaa mmoja akiudhiwa anasema;
'na huyu ni bao kama mabao mengine'
kwa kifupi ni 5-0
unanikumbusha jamaa mmoja akiudhiwa anasema;
'na huyu ni bao kama mabao mengine'
kwa kifupi ni 5-0
Ivi kwanini mwanao ni "damu" yako na sio DNA yako? Damu inahusikaje apo wakati sperms ndo zilihusika? Kama ni damu, kwann mara nyingi group hazilingani?
'Astaghfirullah'! Mtoto mchanga! na ikiwa ni wa kike je anatoa nini?Basi ukitaka kujua kama mtoto ni wako au la toa sperm zako na zake ukapime.
Basi wewe uanze kusema "yule ni DNA yangu". Jee, kuna tatizo hapo?
Utoto mwingine haufichiki.
'Astaghfirullah'! Mtoto mchanga! na ikiwa ni wa kike je anatoa nini?
unataka kuiba mtoto? maana hilo jina, hahaha
anyway huu ni msemo tu, mfano kuna mwingine anaweza kukuambia nimekupenda au kukuchukia toka moyoni, hii haimaanishi kuwa moyo unahisia lkn ni njia moja wapo nzuri ya kufikisha ujembe.
Basi ukitaka kujua kama mtoto ni wako au la toa sperm zako na zake ukapime.