Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Nadhani kwa mliowahi uwanjani siku ya mechi ya Yanga na Zamalek mlijionea miongoni mwa vituko ni yule babu aliyevalia American Suti (kwa muonekano alikua mithili ya mjumbe wa KAMATI YA UFUNDI) ambaye aliamua kwanza kwenda kwenye lango la upande ambao Zamaleki walikuwa wanapasha alizozana kidogo na kocha wa makipa wa Zamaleki na kisha kuamua kukatiza uwanjani bila wasiwasi au bughudha yoyote..
.........Nilidhani mambo haya yalkiishia wakati ule wa shamba la Bibi.............
.........Nilidhani mambo haya yalkiishia wakati ule wa shamba la Bibi.............