The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Habari wakuu,
Tangu uteuzi wa watia nia wa urais kupitia CCM umalizike na yeye kukatwa, hajaonekana tena wala kusikika. Hata TBC wakimuonesha kwenye mashamba ya zabibu hakuna. Je, yuko wapi?
Tangu uteuzi wa watia nia wa urais kupitia CCM umalizike na yeye kukatwa, hajaonekana tena wala kusikika. Hata TBC wakimuonesha kwenye mashamba ya zabibu hakuna. Je, yuko wapi?