KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
- Thread starter
- #21
Nilimwacha mji mmoja unaitwa slough UK,ni kweli kaolewa na jimama flan hv ambae zamani alikua mke wa John Fashanu.Na hilo jimama jina lake linaanzia na S.
S ndio nini si umtaje tu?
Sio siri Hussein kweli kapotea,hata mshkaji wake masatu nae sijui yuko wapi hapa duniani au wako wote huko?maana wale walikua kama mapacha kwa kweli.