kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 116
Anahamahama,hana njozi,ni mtu mwenye siasa za maji taka
Jamani nisaidieni kuhusu alipo huyu kijana machachari aliyekimbia chadema na kwenda NCCR mageuzi na kupata cheo fasta huko. Akiwa chadema alikuwa hatulii mara anataka kugombea urais mara anaipondea chadema mwishowe akaamua kuvua gwanda na kujiunga na nccr kwa mbwembwe. Alipotua nccr akaulamba ukatibu wa vijana fasta na hakutulia kuipondea chadema na kuifagilia nccr baadae habari yake kwisha si humu jamvini bali hata kwenye media nyingne. Vp amepotelea wapi huyu mwanasiasa?
Usipende kuropoka kwa kitu usichokijuwa bwegge wewe, Pasco yuko bize na kazi zake, wewe kama unalipwa pesa kuwepo hapa JF ni wewe.
[h=1]Pasco
JF Premium Member
[/h]
- Add as Friend
- Send Private Message
- Add to Ignore List
- Find latest posts
- Find latest started threads
- Likes Received (6205)
- Likes Given (22611)
Join Date 22nd September 2008 Last Activity Today 10:19
Kumbe miaka yote hii pasco hakuwa na kazi ndo maana alikuwa anakesha JF kupiga domo sio.....washauri na akina Msalani nao watafute kazi za kufanya
Oh Yeah?Nimezaliwa CDM nakulia NCCR-Mageuzi chama makini.
kichwa chake kina mambo mengiAmepanga maeneo ya kirumba Mwanza karibu na kota za mamlaka ya pamba anasema ni mwalimu wa sekondari ila kachoka sana
Jamani nisaidieni kuhusu alipo huyu kijana machachari aliyekimbia chadema na kwenda NCCR mageuzi na kupata cheo fasta huko. Akiwa chadema alikuwa hatulii mara anataka kugombea urais mara anaipondea chadema mwishowe akaamua kuvua gwanda na kujiunga na nccr kwa mbwembwe. Alipotua nccr akaulamba ukatibu wa vijana fasta na hakutulia kuipondea chadema na kuifagilia nccr baadae habari yake kwisha si humu jamvini bali hata kwenye media nyingne. Vp amepotelea wapi huyu mwanasiasa?
Ushaanzisha kanisa lako tuje kusaliNipo nimewekewa vikwazo kila kona. Yaani nadhalilishwa. Wee acha tu.
Hapo sasa..i will, i can, i must.
ZiliwatoaAmepotea Kama Juliana Shonza na Mtela Mwampamba,Singo walizotoka nazo dhidi ya Chadema hazijawatoa