Usifikirie ulipo tu,fikiria miaka ijayo atakapomaliza hizo ajira zitakuepo?
Mwaka jana wanafunzi kadhaa waliomaliza masomo ya udaktari wameshindwa kufanya internship kutokana na serikali kutokua na fedha za kuwalipa, na wanaofanya wanasign mkataba wa kukubali ucheleweshwaji wa malipo sasa huyo anayeanza kusafisha cheti cha form four akija kufika huko itakuaje, aendelee tu na degree yake aliyokua anasoma.[/QUOTE
ukifanya unachokipenda hata pesa itakua nyuma ya, sio wote wanaosoma MD zilikua ndoto zao HAPANA bali mazingira ya nchi, utakuta waliopenda kua pilot,geologst,eng,tichas etc etc