Tangu kikao cha bunge la bajeti kianze hadi mwisho huyu Mzee sikumuona wala kumsikia! jee, nani mwenye habari za mheshimiwa huyu mbunge wa moshi mjini na muasisi wa CDM? jee, cdm watampitisha tena kugombea ubunge 2015 au wanae candidate mpya?
Kazi alizofanya mzee huyu ni za kupongezwa!
Kazi alizofanya mzee huyu ni za kupongezwa!