[/COLOR]
Tatizo lenu ni kudhani mnajua kilas kitu.
mtu Kauliza mgombea mwenza CHADEMA yuko wapi,wewe eleza yupo lindi,kigoma,tanga au kwingineko basi.
kwa sababu hata mimi simjui hata kwa sura,sijawahi kumuina au kumsikia kwenye media yoyote Bongo kama wenzake,Juma Dun na Ghalib Bilal.
Sasa tutamchaguaje wazee?
punguza hasira eleza alipo,ina maana yeye hapingi kampeini, kwani niliudhuria mkutano wa Dk Slaa Geita na Mirongoi Mwanza sikumuona
YUKO WAPI,PICHA YAKE,HATUVIONI HUMU JF KUNANI
Harafu kasheshe una tabia za kike kweli kweliJamani,
Kwa kuwa Watanzania watampitisha kwa kishindo mtetezi wa wanyonge, kiboko ya ufisadi, mto elimu bure, saruji elfu tano. Train ya Umeme kwenda Dar-Mwanza.
Kwa hakika mgombea mwenza wake ndiye makamu wetu wa Rais mtarajiwa.
Picha zake na Nyomi za wananchi wanaohudhuria mikutano yake tuzibandike hapa!!!
Harafu kasheshe una tabia za kike kweli kweli
Picha unazitaka za nini tafuta uziweke mtandaoni mwenyeweDu! Huko CHADEMA wanawake hamuwahitaji? Mbona mimi mama mtu mzima! Asante kwa kutambua jinsia yangu!
Tulifikiri ni mwanaume mwenye tabia za kike. Maana tunmhitaji mwanaume mwenye kutenda kama mwanaume. Kama wewe ni mama mtu mzima basi endelea tu huna kosaDu! Huko CHADEMA wanawake hamuwahitaji? Mbona mimi mama mtu mzima! Asante kwa kutambua jinsia yangu!
umejibiwa vyema kwa kupewa ratiba, unataka aletwe kwako au?Hujajibu swali.
Yuko Zenji gengeni kwake.Jamani Slaa na mgombea mwenza wanapiga kampeni bega kwa bega. Huwa anahutubia Makamu wa rais mtarajiwa then anamalizia rais mtarajiwa. jambo la maana tukumbuke kabla ya kutanguliza u-chadema, au u-ccm au u-cuf wetu sisi ni watanzania kwanza. tubishane kwa hoja, tuchambue udaifu/uimara wa hoja za vyama vyetu tuache hizi personal attacks sababu taratibu zitaangamiza taifa
Mgombea mwenza wa Slaa?Sijamuona katika kampeni na sehemu mbalimbali muda kwa mrefu.Yuko wapi huyu ndugu yetu?
Du! Huko CHADEMA wanawake hamuwahitaji? Mbona mimi mama mtu mzima! Asante kwa kutambua jinsia yangu!