Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,603
- 9,382
Alikuwa noma km Lisu bungeni, wakambana sana.
Alitimuliwa kufundisha UDSM, kisha wakamzuia ku practice uwakili.
Njaa ikazidi, akarejea gambani na kupewa ubunge wa viti maalumu na Rais Mkapa.
Kuna kipindi nilisikia ni mwanasheria wa CCM.
Walimfanyia kitu mbaya so alikuwa hana ujanja, kwa kipindi kile ccm walikuwa wanakubania kila kitu ukiwa kinyume nao thats what they did to the dude, labda kama anaweza kwa sasa arudi upinzani ni mtu mwenye uwezo wa kujenga na kutetea hoja. Walimmaliza ila anaweza kuwa lulu kama atahamia the dream team! Hata mahakamani pia ni jembe sana sema ndo hivyo tena kila mtu ana maisha yake.