Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
wadau sasa ivi nimejaribu kufungua youtube kwa kutumia ile teknolojia yetu ya hapa naona proxy zote youtube sehemu ya video imebadilika, ukibofya play inaonesha chenga chenga kama tv ikiwa channel haikamati.....anayejua tatizo ni nini anihelp please