Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,591
Ha ha ha...ngoja Chris Matthews aje akusikie, kwani mida yake ya kuunguruma inakaribia. Olberman labda atarudi tena ESPN. Hivi wewe utawapigia kura wale wazushi, c'mon man.
Unajua Olberman bana ni mtu mmoja matata sana. Jamaa hata huko ESPN aliharibu wakamtimua.
Ndo MSNBC wakamchukua....huko nako akawa anaharibu lakini wanamsale. Ikafikia wakati uvumilivu ukawashinda na wakampa pink slip. Sasa inapofikia hatua hadi unafukuzwa na MSNBC ujue wewe umeshindikana kabisa.
Hivi ngosha na wewe ni mmoja wa wale mliotundika hizo fading Obama posters? Teh teh teh....
Ila mimi bana huyo Obama nilijua ni bomu tu. Anachojua ni kusoma telemprompter vizuri tu na watu wengi walichoteka na upya wake, rangi yake, na kuchoshwa na utawala wa miaka minane ya Bush.
Mwaka huu ile enthusiasm ya '08 haipo tena. Mwaka huo Obama hakwenda negative sana kwenye ads zake. Message yake ilikuwa ni hope and change.
Sasa real talk....where has hope and change gone? Manake duru hii Democrats ni balaa. Wanaenda negative hadi unaanza kuwahurumia. Vibabu kama Harry Reid vinatumiwa bila hata kujijua. Vinatoa tuhuma bila hata ushahidi. Joe Biden nalo utadhani limerukwa na akili...geeeeez.
Obama wa 2012 si Obama wa 2008. Sasa hakuna cha hope and change wala yes we can. Yuko kwenye desperation mode and he is throwing everything including the kitchen sink.