Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,609
People discuss.......
Nimekuadd leo kwenye FB
Nyani Ngabu.., Hata hivyo jina lako halikutokea, na wakanishauri niangalie vizuri spelling, au nitumie email address kukuadd! Inaonekana kule hujulikani kabisa kama hapa JF
...
facebook kuna mashori wakali.....ndio maana unaambulia mapanki....Sipo kabisa huko....
facebook kuna mashori wakali.....ndio maana unaambulia mapanki....
wakina Bikra wanakuja online ila kanipa namba fake mshamba yule.....Mashori wakali wako mtaani....siyo kwenye tovuti....ndio
wakina Bikra wanakuja online ila kanipa namba fake mshamba yule.....
wakina Bikra wanakuja online ila kanipa namba fake mshamba yule.....
analeta usanii ndani ya jumba la sanaa....namba hazikufika nimegundua nilipokuwa napiga....Buahahaah!! umepewa 555-5555 hollywood number? Weekend njema.
tehe tee hii kweli kabisa....alafu facebook bana mashori wanaweka mapicha ya mamodel wa kibrazili watu wanaingia mkenge.....Unaona sasa...ndo matokeo yake hayo...
Halafu mtandaoni unaweza ukajikuta unatongoza dume lenzako....Lol..
Mtaani ni ana kwa ana....
tehe tee hii kweli kabisa....alafu facebook bana mashori wanaweka mapicha ya mamodel wa kibrazili watu wanaingia mkenge.....
Thubutuuuuuu......si unaona hata kina Sasha Fierce,Shaniqua,Tyra,Candy,tacy,Tameka......waongo haooooooSasa mkuu majina nayo wanaweka ya Kibrazil au wanatumia kwao asilia kama Havintishi, Siwajibu, Mwanahewa?
Nimeingia Ubia with myspace na Tila Taquila.Wale wasiyokuwa na myspace account yaani inabidi ndiyo hivyo tena you need to open an account niweze kupata hits ulaji huo.
www.myspace.com
Nyani Ngabu.., Hata hivyo jina lako halikutokea, na wakanishauri niangalie vizuri spelling, au nitumie email address kukuadd! Inaonekana kule hujulikani kabisa kama hapa JF
...