inashangaza kuona rais aliyekaa madarakani kwa miaka mitano jinsi chama chake kinavyopata shida kwenye kulazimisha watu wamkubali mgombea wao kwa kuandaa mabango ya kila aina,kufanya kila aina ya umafia hata wa kupandikiza wagombea kwenye vyama vya upinzani ili kuvidhoofisha,hivi chama hiki kizee kinatupeleka wapi?tuamke na tuseme inatosha hatudanganyiki tena