Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 4,722
- 14,248
katika historia ya tanzania, upinzani umemark miaka ishirini hivi tangu uanzishwe rasmi., tofauti na matarajio ya wengi, kwamba angalau vitendo vya rushwa, matumizi mabaya au yasiyo ya lazima ya pesa za walipa kodi, kutoaminiana miongoni mwa jamii, uzembe wa kutoa huduma za msingi kwa jamii, tatizo la ajira, yote hayo yamekuwa yakiongezeka, hil halina ubishi.
Sasa wadadisi wa mambo hata wananchi wa kawaida wamepoteza imani kubwa na upinzani kwa mising ifuatayo;
mosi, baadhi ya viongozi wa upinzani kungangania madaraka, na kugombea nafasi za juu wao wenyewe tu..
pili, baadhi ya viongoz wa upinzani kujihusisha na vitendo vya rushwa hasa wabunge, na pengine kuzitetea hasa wale wanaohusishwa nazo moja kwa moja, mf. nishati na madini, na wakat mwingine kuwakatisha tamaa wapambanj hawa hawa kukubali kuendesha magari ya kifahari wakati wao wenyewe wanayapinga majukwaani kwa nini wasikatae vitendo hivi kama sio mawakili wa siasa uchwara na siasa njaa zinazoitafuna nchi yetu kila uchao?
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA.
Sasa wadadisi wa mambo hata wananchi wa kawaida wamepoteza imani kubwa na upinzani kwa mising ifuatayo;
mosi, baadhi ya viongozi wa upinzani kungangania madaraka, na kugombea nafasi za juu wao wenyewe tu..
pili, baadhi ya viongoz wa upinzani kujihusisha na vitendo vya rushwa hasa wabunge, na pengine kuzitetea hasa wale wanaohusishwa nazo moja kwa moja, mf. nishati na madini, na wakat mwingine kuwakatisha tamaa wapambanj hawa hawa kukubali kuendesha magari ya kifahari wakati wao wenyewe wanayapinga majukwaani kwa nini wasikatae vitendo hivi kama sio mawakili wa siasa uchwara na siasa njaa zinazoitafuna nchi yetu kila uchao?
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA.