Baraka F.K
Member
- Aug 28, 2012
- 79
- 26
Mlinzi wa kati timu ya Yanga Kelvin Yondani ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mpira wa miguu nchini kwa msimu wa 2012/13 na kiasi cha pesa mil 5 katika sherehe iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Double Tree.
Kipre Tchetche ameibuka na tuzo ya mfungaji bora kwa msimu na kiasi cha mil 5, huku mlinda mlando wa Priso David Burhan akishinda tuzo ya golikipa bora na kiasi cha mil 5.
Abdallah Kibadeni ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwaka na kitita cha mil 7.5:
Yanga imekabidhiwa kitita cha mil 70 kama bingwa wa Ligi Kuu, huku Azam ikipewa mil 35 kwa kuwa mshindi wa pili na Simba mil 25 kwa kuwa mshindi wa tatu.
Wengine ni
1.Full Maganga - Mgambo JKT mchezaji mwenye nidhamu
2.Simon Mberwa - Refarii bora mil 7.5
3. Abdulman Musa U-20 Ruvu shooting - Chipukizi mil 1.
4. Hassan Dilunga U-20 Ruvu - Chipukizi mil 1.
5. Chande Magoja - Mgambo jkt U-20 -Chipukizi mil 1.
6. Tony Kavishe Mgambo U-20 Chipukizi mil 1.
7. Hamis Saleh JKT Oljoro U-20 Chipukizi mil 1.
8. Rajab Zahir Mtibwa Sugar U-20 mil 1.
9. Timu yenye nidhamu - Yanga mil 15
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kipre Tchetche ameibuka na tuzo ya mfungaji bora kwa msimu na kiasi cha mil 5, huku mlinda mlando wa Priso David Burhan akishinda tuzo ya golikipa bora na kiasi cha mil 5.
Abdallah Kibadeni ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwaka na kitita cha mil 7.5:
Yanga imekabidhiwa kitita cha mil 70 kama bingwa wa Ligi Kuu, huku Azam ikipewa mil 35 kwa kuwa mshindi wa pili na Simba mil 25 kwa kuwa mshindi wa tatu.
Wengine ni
1.Full Maganga - Mgambo JKT mchezaji mwenye nidhamu
2.Simon Mberwa - Refarii bora mil 7.5
3. Abdulman Musa U-20 Ruvu shooting - Chipukizi mil 1.
4. Hassan Dilunga U-20 Ruvu - Chipukizi mil 1.
5. Chande Magoja - Mgambo jkt U-20 -Chipukizi mil 1.
6. Tony Kavishe Mgambo U-20 Chipukizi mil 1.
7. Hamis Saleh JKT Oljoro U-20 Chipukizi mil 1.
8. Rajab Zahir Mtibwa Sugar U-20 mil 1.
9. Timu yenye nidhamu - Yanga mil 15
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums