mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
Hakuna mahali nimemtaka akubaliane na mimi, mimi namueleza msingi wa imani ya kikristo ulipo, labda yeye aniambie anataka jibu gani!!.sio kwamba haelewi maandiko,bali unamtaka ayaelewe unavyoelewa wewe na asihojihoji zaidi,
pia umetoa maelezo yako na unahisi maelezo yako ndio final,
sasa anakwambia lete ushahidi,hakubaliani na maelezo yako
Hili ni tatizo la kuuliza swali ukiwa na majibu yako kichwani.anataka ushahidi wa maandiko, akiletewa anasema bible haijashushwa hivyo haamini.