Yemen: Tutageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo wutaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,977
32,385
Wanaukumbi.

Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.

======

🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:

The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.

======

Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.

Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.

Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.

Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
Yahya Saree, msemaji wa Jeshi la Yemen:


View: https://x.com/me_observer_/status/1737102785848512969?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Kuna kitu tukiangalie kwa jicho la Mbali sana hii vita athari zake hazita ishia kwao tu tusubiri tutaona gharama ya vitu kupanda na kukosekana hasa malighafi tunazo zitegemea kutoka nnje, maana usitishwaji wa hiyo njia ya meli utatuathiri kwa namna moja au ingine.
 
Kuna kitu tukiangalie kwa jicho la Mbali sana hii vita athari zake hazita ishia kwao tu tusubiri tutaona gharama ya vitu kupanda na kukosekana hasa malighafi tunazo zitegemea kutoka nnje, maana usitishwaji wa hiyo njia ya meli utatuathiri kwa namna moja au ingine.
Dunia imeshindwa kuzuia "Genocide" huko palestina labda tuki share maumivu ya kiuchumi tutashtuka.
 
Daah una hasiraa mshikaji
emoji1787.png
tuma namba basi nikurushie hata buku ya pepsi.
Huyu ni mmoja ya Muisrael mweusi bora kabisa kutoka majimatitu , nataka nitume picha yake Kibbutz Nahal Oz. Wamjengee sanamu😂
 
Wanaukumbi.

Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa.
Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.

======

🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:

The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.

======

Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.

Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.

Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.

Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
View attachment 2847100
Kushabikia Mashujaa fc mbele ya Yanga na Simba, ni kutafuta Magonjwa ya Moyo.
 
Wanaukumbi.

Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa.
Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.

======

🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:

The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.

======

Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.

Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.

Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.

Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
View attachment 2847100
Mashallah
 
Wanaukumbi.

Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa.
Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.

======

🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:

The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.

======

Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.

Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.

Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.

Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
View attachment 2847100
ngoja waje wapakatwe tuanze free yemen
 
Wanaukumbi.

Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa.
Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.

======

🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:

The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.

======

Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.

Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.

Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.

Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
View attachment 2847100
Hawa wanecheza na moto Yani wao watakuwa vumbi
 
🚨 KAMPUNI ZA KIMATAIFA ZISITISHA USAFIRISHAJI KWENDA BAHARI NYEKUNDU KUTOKANA NA MASHAMBULIZI YA HOUTH

Mashambulizi ya hivi majuzi ya Wahouthi katika Bahari Nyekundu yamesababisha makampuni kadhaa makubwa ya baharini kusitisha operesheni kupitia Mfereji wa Suez nchini Misri.

Hapa kuna orodha ya kina:

🇨🇭⁠MSC Mediterranean Shipping Co. (Uswizi): Kampuni kubwa zaidi duniani ya usafirishaji wa makontena, yenye kundi la meli 756, ilisitisha shughuli za Suez Canal mnamo Desemba 16.

⁠🇩🇰A.P. Moller-Maersk (Denmark): Kampuni kubwa zaidi ya usafirishaji iliyojumuishwa ulimwenguni, inayoendesha meli 708, ilisimamisha usafirishaji wa makontena kupitia Bahari Nyekundu.

🇫🇷CMA CGM (Ufaransa): Ilijiunga na kituo hicho kwa jumla ya meli 627.

🇩🇪Hapag-Lloyd (Ujerumani): Inaendesha meli 264 za kontena, pia inazingatia kuepuka Mfereji wa Suez.

🇬🇧BP (Uingereza): Mojawapo ya kampuni kubwa zaidi za mafuta na gesi duniani, ilisitisha safari za baharini kupitia mkondo wa Bahari Nyekundu.

🇹🇼 ⁠Evergreen (Taiwan): Njia kuu ya usafirishaji ya kontena ya Taiwani, pia ilisimamisha shughuli.

🇧🇪Euronav (Ubelgiji): Mmiliki maarufu wa lori la Ubelgiji, alijiunga na orodha ya kampuni zinazokwepa njia hiyo.

🇭🇰Laini ya Kontena ya Orient Overseas (Hong Kong) imesitisha upokeaji wa mizigo kwenda na kutoka Israel hadi ilani nyingine.

🇳🇴Equinor (Norway) imesimamisha meli za mafuta, meli za usambazaji bidhaa, meli za kushikilia nanga, na vyombo vya kusubiri.

Zaidi ya hayo, ZIM ya Israel na Trafigura wanachukua tahadhari zaidi kwa meli zao zinazomilikiwa na kukodishwa.

(Chanzo: Fox Business, Reuters)

Hawa ndiyo Yemen masikini wamekondeana lakini wanawaonyosha matajiri.
 
Huo muungano wao hawatathubutu kabisa kuingia Yemen uso kwa uso. Hao Wayemeni miaka yote wapo vitani.

Muungano utaagizia missile tu za mbali tu, fanya mchezo na Wayemeni? Hao washujaa kiasili.

Meli hapo ndiyo wasahau kuzipitisha.
Saudia na Dubai wamekataa kuingia kwenye huo muungano Yemen kawambia tashambulia visima vya mafuta na Dubai taichakaza na makombora.
 
Yemen si ya kutishiwa na Mtu Saud Arabia alijifanya Superpower kujiona ana ndege sijui F15 na Europe fighter Typhoon na silaha za kila aina aliwakusanya UAE, US, Israel, Baharain, Morocco ,Egypt, Jordan wakapeleka F16 na Kuwait F18, na Qatar Mirage pamoja na Sudan na Pakistan walipeleka majeshi yao walikimbia mmoja mmoja wakabaki Saud Arabia na UAE badaye UAE akakimbia ikabaki anawasapoti wa pinzani kule South Yemen, ilibidi Saud Arabia akaombe poa nao kwa njia ya Oman .

America na Israel hawamuwezi hata wajikusanye vipi
 
Back
Top Bottom