MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,848
Hamjambo humu ndani? Nina shostito wangu tumekuwa toka udogo na anatatizo linamuumiza kichwa ofcourse na mimi pia huwa inanikosesha raha na amenitaka ushauri.
Huyu dada yuko early 30s, Mungu amembariki kupata vishahada, good job ya kuwezesha kuisha maisha mazuri hana, matatizo ya financial, physical or mental.
Hajawahi kuwa na mahusiano na mwanamme kwa muda mrefu ya kuaminika sababu ni kuwa anakuwa anahisi kila ananiemkaribia saa zingine unaona mtu anakuwa na interest halafu anasepa.
Wako wale wanaomng'ang'ania ambao sio katika preference zake, mojawapo ikiwa waume za watu, sugar daddy's wengine wataka kulelewa. Akaamua kuwa hatapoteza muda wake yearning for love, she think at her age that it wont happen naturally.
Kitabia hana tabia za kuruka na wanaume, wao wamelelewa kidini zaidi na maadili, siyo mjeuri, I can see her as wife material lol.
Tatizo ni kwanini hajapata mwenza mpaka sasa? Siko hapa kumtafutia mtu bali ushauri. Her concern, ni kuwa biologically umri unakimbia na chances za kuwa na watoto zinazidi kupungua na kutokana na maadili aliyokulia kuzaa nje ya ndoa ni big NO.
Now, ushauri ninaoomba ili niweze kumsaidi huyu dada ni kuwa asubiri for what she want (prince charming) or take the reality the life has to offer, meaning akubali kuwa 2nd wife or atafute anayetaka kulelewa for the sake of getting babies.
Jamani sitaki PM.
Huyu dada yuko early 30s, Mungu amembariki kupata vishahada, good job ya kuwezesha kuisha maisha mazuri hana, matatizo ya financial, physical or mental.
Hajawahi kuwa na mahusiano na mwanamme kwa muda mrefu ya kuaminika sababu ni kuwa anakuwa anahisi kila ananiemkaribia saa zingine unaona mtu anakuwa na interest halafu anasepa.
Wako wale wanaomng'ang'ania ambao sio katika preference zake, mojawapo ikiwa waume za watu, sugar daddy's wengine wataka kulelewa. Akaamua kuwa hatapoteza muda wake yearning for love, she think at her age that it wont happen naturally.
Kitabia hana tabia za kuruka na wanaume, wao wamelelewa kidini zaidi na maadili, siyo mjeuri, I can see her as wife material lol.
Tatizo ni kwanini hajapata mwenza mpaka sasa? Siko hapa kumtafutia mtu bali ushauri. Her concern, ni kuwa biologically umri unakimbia na chances za kuwa na watoto zinazidi kupungua na kutokana na maadili aliyokulia kuzaa nje ya ndoa ni big NO.
Now, ushauri ninaoomba ili niweze kumsaidi huyu dada ni kuwa asubiri for what she want (prince charming) or take the reality the life has to offer, meaning akubali kuwa 2nd wife or atafute anayetaka kulelewa for the sake of getting babies.
Jamani sitaki PM.