Yaya Toure analalamika nini? Sio kila siku yeye, Aubameyang naye anastahili tuzo, eboh!

Wamebisha,wakachochora. Mapenzi binafsi hayuhusiki kwenye kutoa tuzo.
1. Km Gabon ilitolewa Afcon kwenye makundi,angalia timu mpk ina qualify ilikuwa inabebwa na akina nani?!!
2. Angalia msaada wa Aubameyang kwa Dortmund,kisha fananisha na Toure Mancity
3. Mancity kwenye champions league walitoka hatua ipi?! Toure hakuwepo??
4. Sio kwa kuwa mnaangalia sana EPL ndio muone hiyo ndio ligi bora maana Champions league wanatia aibu mara nyingi tu
5. Guardiola akija EPL ndio muhukumu sio kbl hajatua,maana Kocha bora ni Anceloti aliyechukua vikombe kila ligi aliyofundisha
 
Anasema alistahili kupata tuzo for what he did for Africa with cote d'Ivoire i guess, but anasahau wakina messi na Ronaldo tuzo wanazopata si kwasababu ya mafanikio ya team za mataifa yao bali vilabu ndo zaidi
Na kwa msimu ulopita Yaya was so sloppy.
 
mbona kipindi kile nigeria walichukua kombe la africa toure alikua nominated na obi mikel lakini toure akachukua mbona ckusikia malalamiko kama hayo kutoka kwa mikel au yeye mwenyewe. Huo ni wivu anataka miaka yote achukue yeye tu.
Angeulizwa hilo swali angeomba msamaha.
 
Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa ili uwe mchezaji bora Afrika kigezo cha kwanza ni kuwa hupaswi nchi yako kuwa bingwa kwa wkt huo na km una mafanikio yoyote aliyopata Pierre Emerick yaweke hapa tuyaone wote iwe kwa klabu ama Taifa,na Mimi nikupe ya Yaya Toure ambayo ww unayafaham hata bila kuorodheshewa.
 
Kwa hiyo unataka kumaanisha kuwa ili uwe mchezaji bora Afrika kigezo cha kwanza ni kuwa hupaswi nchi yako kuwa bingwa kwa wkt huo na km una mafanikio yoyote aliyopata Pierre Emerick yaweke hapa tuyaone wote iwe kwa klabu ama Taifa,na Mimi nikupe ya Yaya Toure ambayo ww unayafaham hata bila kuorodheshewa.
Hiyo miaka minne aliyochukua tuzo ,Toure aliwahi kuchukua ubingwa wa Africa?
 
huyo aubeyang nimeanza kumsikia juzi tu, leo kawa mchezaji bora africa,,, shame.. Yaani kubahatisha kufunga hivyo vigoli 17 ndio apewe hiyo tuzo....ni sawa sawa na leo useme Leceister city ni team bora England kisa ximeongoza ligi kwa kipindi hiki...shame on you wapuuzi wote wanaomponda yaya, yaya aclistahili
 
Huyu kimeo kumbe ni mweupe hivi kichwani. Eti haijali Afrika, yeye kawa mzungu? Shenzi type
 
Back
Top Bottom