johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Unaweza kukuta Rais anatamani kupata Mawaziri wapya lakini atawatoa wapi?
Kiukweli kwenye Katiba Mpya Mawaziri wasiwe wabunge kama ilivyo Kenya
Mlale unono!
Kiukweli kwenye Katiba Mpya Mawaziri wasiwe wabunge kama ilivyo Kenya
Mlale unono!