Elections 2010 Yatakayomkuta Kikwete iwapo atataka kuingia Ikulu kwa gharama yoyote

Sio yeye tu hata Mwalimu Nyerere alikuja kupendwa bada ya kung'atuka........



Tayari ipo migogoro ya kutosha tu ingawa sio ya aina ambayo mnajaribu kuiwezesha....



Sounds like dua la kuku.....



Nijuavyo katika miaka ya karibuni kumwekuwa na muongezeko mkubwa wa wasomi kurudi nyumbani kuliko nyakati zilizopita



Kama ameweza kuchangamana na ouvu wa Kenya, Sudan, Uganda na kwengineko sidhani kama atatuacha mradi tu mmeshindwa kufanikisha matamanio yenu. Actually ninadhani Mungu has soft spot na Tanzania yetu.........




CCM inaweza kuwa na madhambi mengi tu lakini kujaribu kumfananisha Kikwete ama CCM na hao hapo juu ni kukejeli baraka/huruma za Mungu huyohuyo unayemtumia hapa kuhalalisha propaganda ama hisia zako.



I thought ninyi ndio mnaopinga, kumlaani na kumtenga Kilaini kwa kutamka neno lenye mantiki hii ambalo lilithibitishwa na asilimia 80 ama 67 za kura 2005.


In general, I have never come across a defeated plea such as this...

Usikate tamaa kirahisi hivyo kaka bado uwezekano wa asilimia hata thelathini upo.....Keep on the fight

kwanini hawaji sasa? maana madoktaz wanaofanya kazi Botswana nore that 30% ni watz. Why?
 
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote. Jamani maslahi ya taifa kwanza halafu haya ya familia ya Kikwete yafuate baadaye.
 
Nakubaliana na wewe kwa namna fulani.Lakini ikiwa una matarajio ya mshindi kuwa Dkt Slaa basi hasira za Mungu zitashinda manung'uniko ya watu na nchi haitokalika na hakuna sera atakayotekeleza.
Kati ya hawa wawili ni afadhali Kikwete na ikiwa ni muhimu aingie mtu mwengine Ikulu basi bora awe Lipumba.

nh! what the guy saying?
 
Nakubaliana na wewe kwa namna fulani.Lakini ikiwa una matarajio ya mshindi kuwa Dkt Slaa basi hasira za Mungu zitashinda manung'uniko ya watu na nchi haitokalika na hakuna sera atakayotekeleza.
Kati ya hawa wawili ni afadhali Kikwete na ikiwa ni muhimu aingie mtu mwengine Ikulu basi bora awe Lipumba.


Mpaka hapa naanza kuingiwa na wasiwasi kuwa dini ya mtu na upeo wa kuelewa wa mtu vinaendana trust me:llama:
 
AUTHORITY without LEGITIMACY ni kitu hatari sana, nashangaa Dr. Bana amesoma Political science lkn anashindwa kumshauri Kikwete kwa hili. Unapoongoza watu wasiokupenda kila wakati utapata upinzani kutoka kwao, lolote zuri kwako, litakuwa baya kwao. Kwa nini ulazimishe hili litokee??? Nachojua kikwete anaogopa aibu ya kushindwa na upinzani!! Naomba nimwambie, aibu ya kushindwa kwenye uchaguzi ni ndogo kuliko aibu atakayoipata atakapojiuzulu kabla ya wakati wake kutimia.
 
mkuu nakubaliana na wewe kwa 100%!kuna usemi unasema you can fool people but not always.tumeshachoka na uongozi wake mbaya tunataka mabadiliko this tme
 
Inanisikitisha sana kuona kikwete anataka kuingia madarakani kwa gharama yoyote ile ili hali anajua kabisa wananchi wamemchoka.Kama akifanikiwa kuingia madarakani mambo yafuatayo yatampata.

  • Utawala wake utakuwa mgumu sana maana atawatawala watu wasiompenda.

  • Nchi itakuwa na migogoro ya hapa na pale kwa sababu watu hawakupendi.

  • Manunguniko ya watu, Mungu atayasikia na hivyo mwisho wako utakuwa mbaya sana.
  • Uchumi wa nchi utadidimia kwa sababu wataalamu wengi watakimbia nchi yao kwa sababu ya utawala wasioupenda,wananchi hawatakuwa na morale ya kazi.
  • Blessing and divine protection from God haitakuwepo katika nchi yetu, maana Mungu achangamani na uovu.
Kukuthibitishia hayo ninayosema hii hapa ni baadhi ya vongozi waliotafuta uraisi kwa 'gharama yoyote'
Mobutu seseko wailiyokuwa Zaire-mwisho wake na nchi yake ilivyokuwa kila mtu anafahamu
Kamuzu Banda-Malawi
Mugabe-Zimbabwe(mambo yameanza kuwa mazuri baada ya kukubali serikali ya mseto)
Burkinafaso, Somalia.
KIKWETE BELIEVE ME OR NOT SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU. UKITAKA KUZIMISHA SAUTI YA MUNGU, GOD WILL NOT LET YOU PREVEIL

"Politics is more difficult than physics."
 
Back
Top Bottom