Yasikie tu kwa jirani, siku nilipofumaniwa na kukurupuka na "kitasa" mkononi bila kujijua

Hahahaha!!

Yaani kama unasoma hapa na wewe ndo muhusika aiseeee!!

Lazima ujue tu kuwa mkeo siku ile unagonga geti na hukufunguliwa bhasi alikuwa analiwa na jamaa

Maana kitendo cha kusema kuwa jamaa ni mnene na aliruka geti sharti likanasa hook za geti badae akadondoka.

Jua kabisa ni wewe na mkeo siku aliliwa.
Mkuu nina hamu na sato wa pale Tilapia mkuu
 
Dah, story yako mzuri kijana. Rudi Mwanza uanze story upya.
Hongera kwa kuchomoka maana ungebambwa!!!!!! Ingekuwa shida
 
Sasa ulivuaje chupi wakati suruali imebaki magotini.....anyway utunzi mzuri mkuu sema hapo mwishoni ungetengeneza vizuri story ionekane palikua na bonge la fumanizi.
 
Pale unapojikuta ukoka ndio sehemu ya kujifichia.
upload_2017-5-4_7-1-4.png


Hii tunaita mbuni style
 
Story za uongo hua hata mvuto hazina, wewe umesema ulishusha suruali usawa wa magoti tu, ukaanza kula mzigo na ulipokua umelala usawa wa magoti matako yalikua nje maana ulisahau mpaka kupandisha suruali, sasa hiyo chupi ulokua unajifutia jasho uliivua saa ngapi, hebu acheni usengerema wa kuleta mada za uongo humu na kutujazia thread za ajabu ajabu
 
Inawezekana inaukweli kidogo..ila ume mix na tango pori nyingii..kunogesha..story.

Nyumba yenye geti,sevanti kota na Master bed room atampelekaje mumewe kuoga?hizo zipo tandale huko..nyumba hapa choo kule.
Hapakuwa na mlinzi?watoto ama ndugu?? Ambao Mzee angewapigia wamfungulie??

We story yako ingeishia tu ulimtafuna pale uliponsindikiza akaomba kukojoa..huko mbele kooote umetupiga ushigongo..fix..ama tango pori
 
Back
Top Bottom