Katika wachezaji ambao hii timu imeliwa ni huyu Chirwa , kwanza magoli anayokosa sitaki kuamini kama ana akili timamu .Chirwa "mfungaji bora" anaingia,Ngoma out
Visingizio vitupu ! Hivi Mbuyi Twitte ni viwanja gani havijui nchi hii ?Siilaumu Yanga kupoteza mechi hii, nimeangalia mpira dakika za awali nikaona jinsi mpira hautulii, kiwanja ni kibovu mnoo.
Hahaaaa vipi na Medeama, MO Bejeia na TP Mazembe walitumia viwanja vibovu pia. Tukubali kuwa tumefungwa.Siilaumu Yanga kupoteza mechi hii, nimeangalia mpira dakika za awali nikaona jinsi mpira hautulii, kiwanja ni kibovu mnoo.
BwahahahahahaaaaaNdala ni kwa matumizi ya bafuni tu. Ukienda navyo stand lazima ukanyagwe tu
Nyie jamaa kwa sababu sasa Leo nikamsikia mchezaji mmoja wa kati anasema Kwa jinsi uwanja ulivyokuwa ilikuwa inawapa ugumu kuna goli la wapinzani wao kutokana na miinuko kama bonyokwa kilunguleHahaaaa vipi na Medeama, MO Bejeia na TP Mazembe walitumia viwanja vibovu pia. Tukubali kuwa tumefungwa.
Upo mkuu....??? Daah,kitambo sana sijakusoma jamviniKwa beki ile ya sifa za kwenye magazeti oktoba mosi wataoga mengi
Mwadui mliwafunga katika uwanja upi?Siilaumu Yanga kupoteza mechi hii, nimeangalia mpira dakika za awali nikaona jinsi mpira hautulii, kiwanja ni kibovu mnoo.
Mwadui mliwafunga katika uwanja upi?
Mwadui mliwafunga katika uwanja upi?
Kiwanja kibovu!?kwahyo na kwenye mechi ya mwadui uwanja ulikua kama wataifa au!?Yanga mlizidiwa sana na stand kimchezo na hata kama yanga mngeshinda lakini kamwe msingeisahau mechi hiyoSiilaumu Yanga kupoteza mechi hii, nimeangalia mpira dakika za awali nikaona jinsi mpira hautulii, kiwanja ni kibovu mnoo.