cha unga au sukari yetuMamamamamaeeeee weita kata kiroba
Ooooooh atazikwa nani mkuu! !!! Uzuri wa jeneza halichagui. LoLTarehe mmoja kandambili waje na majeneza kabisa mechi ikiisha ni kwenda kuzika tuu hakuna kulala
Kimeng'ang'aniaLazima yanga wachomoe!
Jmosi tar1 Mungu akitujaalia uzima tunakwenda kuwafundisha mpira wa mchangani wanaojiita wakimataifa,kosa kosa zile tano zinarudi or tunawapiga 7.Kwa mpira huu tusishae Yanga kushuka daraja