njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,665
Hii sasa ndiyo inaweza kuwapeleka makundi vinginevyo Jumapili hadi kufikia saa nne kamili usiku itakuwa ni kilio kikubwa kwa wana Jangwani. Watu watapigwa kama ngoma na Waarabu weusi.
Mwanaume kamili hawi kama wewe mda wote ujinga ujinga wa simba
hahahahahaa jamaa wana stress sana mkuu waache wapate pa kuzitoleaMwache aongee mbona hajaonesha ushoga wowote.? Au ww ni shoga.? Maana umemind uzi wake
sasa badala uwalaumu MA KABWILI waliokata rufaa wapate ganda la ndizi kuingia makundi unanilaumu mimi....heheheheheWewe jamaa ni shoga uliyekubuhu.
Hizo nguvu za kutukana ungemuomba Mungu afanye miujiza rufaa yenu ikubaliweWewe jamaa una mdomo kushinda mkeo
Ha haha haaaaaaa hahahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaa.......Wewe jamaa ni shoga uliyekubuhu.
Hiki kikosi kazi hakijawahi kushinda rufaa yoyote , ya bm 3 , ya LUC zee la wanabweka kama mbwa wanapiga kelele kama manyani......labda safari hii watafanikiwaAnother popoma in town.
BWAHA HAHAHAH A BWAHAHAHAHAHAHAA BWAHAAHAAHAHAHAHAA ETI NI KABWILI ALIYEKUBUHU BWAHAHAHAHAHAHa haha haaaaaaa hahahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaa.......
Taarifa za kintelejensia ndiyo maana kwa sasa itabaki kama tetesi ila jamaa wanasubiria majibu kwa hamu waingie makundi kwa mtelelezo huoUnaleta taarifa hata haijulikani imetoka kwa nani.
badilisheni tusi maboya nyie..kila tusi mnaleta u kabwili..mtaolewa na mzee toziHuyu jamaa ana njaa kweli kweli atakuja kujiuza huyu jamaa
Jamaa nilijua akili hana baada ya Simba kupigwa mbili na Mayele ngao ya jamii ,alikuwa kila muda nyuzi za malalamiko mara kuhamasisha wawazomee wachezaji ,kususia kwenda uwanjani ,tuhuma kwa wachezaji nk nikashukuru sina ushabiki huo wa mpira maana ukizidi sana matokeo yake huwa kama hayo unaweweseka mno kwa kitu usichokuwa na uwezo nacho kutatua wala kukupa faida.Wewe jamaa una mdomo kushinda mkeo
na bado uko busy ku comment kwenye uzi wa mtu asiye na akili...jitafakari mkuuJamaa nilijua akili hana baada ya Simba kupigwa mbili na Mayele ngao ya jamii ,alikuwa kila muda nyuzi za malalamiko mara kuhamasisha wawazomee wachezaji ,kususia kwenda uwanjani ,tuhuma kwa wachezaji nk nikashukuru sina ushabiki huo wa mpira maana ukizidi sana matokeo yake huwa kama hayo unaweweseka mno kwa kitu usichokuwa na uwezo nacho kutatua wala kukupa faida.