Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Nashangaa kwanini Yanga inataka kuwakomoa Simba, wao wameshavuka na wapo Misri lakini malazi ya Jwaneng Galaxy yapo Kigamboni.
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila tutaingia tu robo fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app