magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,456
- 13,207
Unafaa kuwa kiongozi pale Umbumbuni, uko vizuri kwenye kuacha wachezaji kwa Mihemko.Sure boy hamna kitu kabisa yaani.Siku Aucho hayupo timu inacheza papatu papatu pale kati kunakosa utulivu.
Viongozi yanga fanyieni kazi mapungufu haya.
Ikiwezekana Sure boy tumuache aende amekwisha na msaada wake hauhitajiki tena pale jangwani.