Yanga leo kacheza vibaya na Namungo

Sure boy hamna kitu kabisa yaani.Siku Aucho hayupo timu inacheza papatu papatu pale kati kunakosa utulivu.

Viongozi yanga fanyieni kazi mapungufu haya.

Ikiwezekana Sure boy tumuache aende amekwisha na msaada wake hauhitajiki tena pale jangwani.
Unafaa kuwa kiongozi pale Umbumbuni, uko vizuri kwenye kuacha wachezaji kwa Mihemko.
 
Hizi siasa in football , team ikicheza vibaya imecheza vibaya . All these injury ni bla bla . Ila Jana it was poor play . Luck yanga won . Mpira aujifichi. . Simba anaongoza Pasi Lakin mpira mbovu .
Mpira haukufai na huujui.
 
Sure NI juzi Tu uongozi wa Yanga umemuongeza mkataba wa miaka miwili Kwa mapendekezo ya kocha.

Swali, wewe na kocha Nani anawajuwa wachezaji? Vijambio vikiwawasha siyo muwe mnakuja kujamba ushuzi kunuka JF.

With no improvement of the contract . Mbona UnAtoa half information . He haS no qualities .


Lastly Kama unatukana Acha thread pita Hivi . Small minds behaviors hizo
 
Sio kweli . Nyie ndo maNgungu type . Ukweli kwenu sio Mzuri . Call a spade a spade not a big spoon .
Mpira uchambuzi ambao hauko kisayansi ni mipasho. Nimekuwekea criteria umention unarukaruka kama bisi.

Mpira huujui kachambue marede na dada zako.
 
Leo yanga kacheza mpira wa papatu. very bad football. Bila AUCHO kazi wanayo yanga.

Sure Boy bado sana kuwa sita bora. Leo ni neema tu imewabeba ila very low tempo football amna furaha yoyote.

yanga can do better. wanajua ball ni swala la morali kama imeshuka vile over achievement kama Bayern Munich back in the days.

Huu ndo ukweli. Acha kukaza kichwa.
Points 3 tu inatosha hayo mengine ni ziada
 
Leo yanga kacheza mpira wa papatu. very bad football. Bila AUCHO kazi wanayo yanga.

Sure Boy bado sana kuwa sita bora. Leo ni neema tu imewabeba ila very low tempo football amna furaha yoyote.

yanga can do better. wanajua ball ni swala la morali kama imeshuka vile over achievement kama Bayern Munich back in the days.

Huu ndo ukweli. Acha kukaza kichwa.
Akunaga timu inayochezaga vizuri mechi zote babu, Kuna kipindi itacheza vibaya kutokana na sababu mbalimbali, kinachoangaliwa ni umevuna Nini, timu Bora inaokota point ata Kama imecheza vibaya na iyo ni element ya timu inayocheza kibingwa, yanga katumia wachezaji wengi wa kikosi Cha pili ambao awachezi mara kwa mara ulitegemea muunganiko uwepo Kama uliopo kwa wale wanaoanza Kila mechi? Mpira una njia zake bro ikiwemo mambo ya kiufundi, wachezaji wanaokaa benchi mda mwingi fitness yao na Hali ya kujiamini upotea ivyo mpaka na yeye apate angalau mechi 5 mpaka 6 mfululizo ndio akae sawa vinginevyo utaona tofauti na wengine, iyo nimekufafanulia kiufundi ni sababu zipi zimepelekea yanga acheze vibaya Kama ulivyoona wewe, ndiyo maana wale wengine walijaribu kukosa wachezaji 3 tu wa kikosi Cha kwanza wakaadhibiwa vikali na KOPLO MBANGULA!
 
Leo yanga kacheza mpira wa papatu. very bad football. Bila AUCHO kazi wanayo yanga.

Sure Boy bado sana kuwa sita bora. Leo ni neema tu imewabeba ila very low tempo football amna furaha yoyote.

yanga can do better. wanajua ball ni swala la morali kama imeshuka vile over achievement kama Bayern Munich back in the days.

Huu ndo ukweli. Acha kukaza kichwa.
Moja ya sifa kuu ya timu inayoenda kuwa bingwa ni kupata point 3 haijalishi mechi ilikuwaje
 
kashinda ila papatu papatu. winning in poor form is a bad sign, especially in a marathon like league games
Ni kweli kabisa "winning in poor form is a bad sign" nina asilimia 100 kuwa hata kama yanga kamzidi simba point 7 bado ubingwa huu ni wa simba sc.

Kama simba akiukosa basi azam anaupata. kwasababu hao hawajawahi kuwa na "poor form" tangu ligi ianze.
 
Back
Top Bottom