MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
Leo Yanga imeibanjua Mtibwa 1-0.
Ubingwa sasa unanukia!
Hakuna wa kuikaribia Yanga
Simba Mpo????
Ubingwa sasa unanukia!
Hakuna wa kuikaribia Yanga
Simba Mpo????
Hakuna wa kuikaribia Yanga
Simba Mpo????
Leo Yanga imeibanjua Mtibwa 1-0.
Ubingwa sasa unanukia!
Hakuna wa kuikaribia Yanga
Simba Mpo????
Yanga hata golikipa anafunga.....yaani wee acha tu....Mzalendo,
nani aliyeifungia yanga hilo bao?
Du yeboyebo tunapiga mwaka huu, that is good, vipi simba wameendeleza ubabe?
Simba wanacheza kesho na Prisons.
Simba wanacheza kesho na Prisons.
invisible, masatu mko wapi? Yanga balaaaa
KAGODA FC bwana, maneno meeeeeeeeeeeengi! Haya huu ni mwaka wenu kuanzia uwanjani hadi mahakamani! Kwi kwi kwi
Wekundu wa Msimbazi wameishinda Prisons 3-1. Wanakumbuka shuka asubuhi...
Hii ni kwa mujibu wa dullonet.com
Wekundu wa Msimbazi wameishinda Prisons 3-1. Wanakumbuka shuka asubuhi...
Hii ni kwa mujibu wa dullonet.com
Mkubwa hizo ndio siasa za simba na yangaIna Maana Jamaa ameshiriki mechi za ligi kuu bila yakuwa amekamilisha uhamisho wake wa Kimataifa!