Tehe Yanga tumemaliza mwaka kiutamu ajabu, tumeua mnyama halafu tumemalizia na nyau tehetehe
1935 klabu hi ilianzishwa chini ya wazalendo halisi yaani wapaa samaki na wafua Nazi waliokiwa wakijumuika kwa pamoja na baadae kujiunga na kuanza harakati za kuanza kuusaka uhuru.
Hivyo unapozungumzia uhuru wa taifa hili basi wazi kuwa unatakiwa uitaje Dar young african ama Yanga.
Timu pekee yenye uwanja na makao makuu na uwanja kama timu za ulaya...
Yanga Imara...
Daima mbele
Nyuma mwiko
we inaonekana ni mchoyo wa 'senks'Yanga imetangazwa kuwa Bingwa wa tusker 2009 baada ya kuishinda Sofa paka ya kenya kwa goli 2 kwa moja.
Hongera wana Yanga..
Yanga oyeeeeeeeeeee.
Tatizo simba waliungana na Paka aka Nyau kushambulia wananchi hivyo ikabidi uzalendo ukatumika.KUna mtu mmoja shabii wa yanga nilikuwa naye sehemu tukikamata kilaji akasema kuwa tatizo la yanga ilikuwa kocha Kondic..eti alikuwa wa Simba....lakini huyu wa sasa hivi ameibadilisha sana yanga kiuchezaji
kwa jana Sofapaka walishajiamini ombe ni lao hadi dakika za lala salama walipopigwa magoli mawili chap chap...nadhani ndio maana kipa wao akafanya fujo
hongera yanga