Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
- Thread starter
- #21
Pasco umenena huyu si mwandishi wala si chochote.... Kama ni vyeo abaki navyo.....mitaani... Uandishi wa habari za uchunguzi unaenda hivi... kwanza ndo umeingia jf...unaanza kupost uzushi.
Nitatoka tu mkuu hapa JF tena muda siyo mrefu maana wewe umeona uzushi! Nadhani kwa muda wote uliokaa hapa hujajua vizuri JF inasaidiaje vyombo vya habari! na Tena ungezingatia usingekaa kupinga vitu ambavyo vipo na wazi na ni UOZO! Fikiria sana moyoni mwako na akilini mwako kutetea uozo ni sawa na kununua nyanya zilizooza sokoni ukampelekea mke wako! Unayoyaona mjengoni hayatokei huko tuuuu! Chini huku please! Axkyusi mi!:coffee: