Yanayonikuta London (UK)

Kiufupi majirani zake wanamuwangia, ila siyo kwa ungo au hiziri bali vifaa vya kisasa vinavyotoa umeme unaomuathiri mmatumbi mwenzetu.
Mkuu unge dadavua vzr tuweke wazi na ss wamakonde tuelewe kinaga ubaga.
 
Mimi nimeishi London - UK kwa muda mrefu sasa hivi. Kufanya stori ndefu kuwa fupi, ninaishi kwenye share accommodation na watu kutoka West Africa na mmoja kutoka Asia.

Miaka ya karibuni nimekuwa bullied. Hii nilianza ku experience kutoka kwenye organisation mojo kubwa hapa UK. Nikaamua kuacha kazi na kutafuta kwenye sector nyingine. Lakini bado wakanifuata kwenye communities kuendeleza psychological bullying(Kwa nını wana ni bullied, hii ni story ndefu).

Lakini kilichoni affect na kunisukuma kuandika hapa ni hii. Mwezi March 23 nilianza ku experience balance issue, headaches plus other health issues( nina sababu za kutoziweka wazi kwa sasa). Nikaenda kwa GP(Doctor) akaoda vipimo vya damu lakini hawakukuta chochote kilichokuwa kinasababisha hizo episodes.

Kabla ya March, nilikuwa nina spend muda mrefu nyumba wakati applications za kazi zikiwa process.
Around March nikaanza kazi nyingine kwa hüyo muda mrefu nilikuwa sipo nyumbani. Zile health issues nazo zikapotea wakati huo nikadhania labda ilikuwa ni lack of exercise na lishe.

Lakini around August nikaanza ku experience intermittently kama electrical shocks nikiwa chumbani, haşa kwenye maeneo ya kichwa na baadae ikawa kawa sharp pain ya sindano (hii ni mara chache) pamoja na shock. Pia kuna hissing sound. Halafu baadae zile health issues nazo zikarudi.

Nikahisi itakuwa ni electromagnetic fields. Nikanunua EMF detector nilipoanza kuitumia ili detect presence of EMF mpaka 564v/m. Kwa sababu readings zilikuwa juu sana nikaona labda hiki chombo kinanidanganya. Lakini baada ya muda nikipima yale maeneo kunakuwa hakuna tena EMF.

View attachment 2823423
In meantime, strength ikawa inaongezezeka nikawa nina feel hizo shocks very strong.
Zimekuwa zinanifanya nashindwa kulala vizuri. Na nina feel effect zake nikiwa
mitaani hata kazini.
Nina amini kuna mtu au watu anakifaa ambacho kina emit hizo waves. Kuna mara mbili niliamka usiku sana nikigeuka ninasikia hatua za mtu akiwa anatembea
kutoka kwenye mlango wangu wa chumba(nikiwa nimelala huwa mlango wa chumba ninafunga kwa madani).
Mara kibao nimekuwa ninaamshwa na coughs na hewa chumbani na hisi tofauti mpaka niwanje mlango wazi kwa muda ndio na kikoozi kinapungua. KUNA SIKU NINAHISI SITA HAMKA LAKINI MUNGU MKUBWA.
Nimetilia mkazo kwenye kutafuta nyumba nyingine lakini bado sijapata.

Nimesharipoti Police mara tatu.

Ninahisi kiini cha haya yote ni research ambayo wame incite racism kama ngao, kujificha na kuwasadia ku achieve wanachotaka. Wengine ni entertainment na financial gain. SOME PEOPLE ARE PURE EVIL AND SADISTIC!!
Report hayo mambo sehemu husika.

Inaweza kuwa ni simu yako au minara ya simu.

Ina cause cancer hiyo. Si mambo ya mchezo mchezo hayo.
 
Mimi nimeishi London - UK kwa muda mrefu sasa hivi. Kufanya stori ndefu kuwa fupi, ninaishi kwenye share accommodation na watu kutoka West Africa na mmoja kutoka Asia.

Miaka ya karibuni nimekuwa bullied. Hii nilianza ku experience kutoka kwenye organisation mojo kubwa hapa UK. Nikaamua kuacha kazi na kutafuta kwenye sector nyingine. Lakini bado wakanifuata kwenye communities kuendeleza psychological bullying(Kwa nını wana ni bullied, hii ni story ndefu).

Lakini kilichoni affect na kunisukuma kuandika hapa ni hii. Mwezi March 23 nilianza ku experience balance issue, headaches plus other health issues( nina sababu za kutoziweka wazi kwa sasa). Nikaenda kwa GP(Doctor) akaoda vipimo vya damu lakini hawakukuta chochote kilichokuwa kinasababisha hizo episodes.

Kabla ya March, nilikuwa nina spend muda mrefu nyumba wakati applications za kazi zikiwa process.
Around March nikaanza kazi nyingine kwa hüyo muda mrefu nilikuwa sipo nyumbani. Zile health issues nazo zikapotea wakati huo nikadhania labda ilikuwa ni lack of exercise na lishe.

Lakini around August nikaanza ku experience intermittently kama electrical shocks nikiwa chumbani, haşa kwenye maeneo ya kichwa na baadae ikawa kawa sharp pain ya sindano (hii ni mara chache) pamoja na shock. Pia kuna hissing sound. Halafu baadae zile health issues nazo zikarudi.

Nikahisi itakuwa ni electromagnetic fields. Nikanunua EMF detector nilipoanza kuitumia ili detect presence of EMF mpaka 564v/m. Kwa sababu readings zilikuwa juu sana nikaona labda hiki chombo kinanidanganya. Lakini baada ya muda nikipima yale maeneo kunakuwa hakuna tena EMF.

View attachment 2823423
In meantime, strength ikawa inaongezezeka nikawa nina feel hizo shocks very strong.
Zimekuwa zinanifanya nashindwa kulala vizuri. Na nina feel effect zake nikiwa
mitaani hata kazini.
Nina amini kuna mtu au watu anakifaa ambacho kina emit hizo waves. Kuna mara mbili niliamka usiku sana nikigeuka ninasikia hatua za mtu akiwa anatembea
kutoka kwenye mlango wangu wa chumba(nikiwa nimelala huwa mlango wa chumba ninafunga kwa madani).
Mara kibao nimekuwa ninaamshwa na coughs na hewa chumbani na hisi tofauti mpaka niwanje mlango wazi kwa muda ndio na kikoozi kinapungua. KUNA SIKU NINAHISI SITA HAMKA LAKINI MUNGU MKUBWA.
Nimetilia mkazo kwenye kutafuta nyumba nyingine lakini bado sijapata.

Nimesharipoti Police mara tatu.

Ninahisi kiini cha haya yote ni research ambayo wame incite racism kama ngao, kujificha na kuwasadia ku achieve wanachotaka. Wengine ni entertainment na financial gain. SOME PEOPLE ARE PURE EVIL AND SADISTIC!!
Hama huko la sivyo utakutwa maiti na mnavyoishi kisela bila kuoa Wala kuolewa ni hatari Sana
 
Ila baadhi ya watu mnajiita GT hivi mnajua mnachoandika kweli?? Mtu yuko na matatizo na ameona ili apumue kidogo aje ashee na watanzania wenzake hapa..ila inasikitisha majibu mnayompa aisee..yuko kwenye hatari lakini mnamuongezea shambulio la moyo tena...
Kama hujaelewa si bora unyamaze kuliko kuchangia pumba?
Yani mtu amelalamika kuhus bullying ila na nyie mna bully...
#^!₩¥(!((@!¥#!*!
 
Amna kitu hunifanya nione ni hatari kuishi mbali na nchi yangu hasa ikifika masuala ya afya
 
Unalogwa Kwa technolojia ,ni waafrica wenzako ni Bora usafiri au utengenwze shield ya ku repel hizo magnetic fields ,uweke na sensa ambayo itapiga kingora pind intensity itakuwa kubwa
 
Uzungu mwingi bila sababu eti
Nilikua nahisi celophoner dytcline lakini baadae nikawa nahisi niko ok na hii ilipelekea cewlonyc hydyon kwenye piytkjlr
 
Amna kitu hunifanya nione ni hatari kuishi mbali na nchi yangu hasa ikifika masuala ya afya
Hatari hiyo ipo hata hapa nchini Tz, yote aliyoeleza huyo hufanyika sana hapa kwetu Tz.
Kwa kukudokeza tu ni kwamba wale watu ambao huwa unawaona kwenye vijiwe vya kahawa wakipiga soga tangu asubuhi hadi jioni wengi wao ni "mawakala wa kimkakati" wa kufanya propaganda chafu dhi ya watu fulani Fulani wanaowalenga. Most of them are the agents for Bullying people, Spreading the 'Black Propaganda,' Characters Assassination Propaganda and Smear Campaigns against their Targets (Activists, Critics and Opponents).
Ukiwachunguza kwa kina utaona kwamba kwenye stori zao nyingi wanapenda sana kutumia neno "unaambiwa .............."
 
Mimi nimeishi London - UK kwa muda mrefu sasa hivi. Kufanya stori ndefu kuwa fupi, ninaishi kwenye share accommodation na watu kutoka West Africa na mmoja kutoka Asia.

Miaka ya karibuni nimekuwa bullied. Hii nilianza ku experience kutoka kwenye organisation mojo kubwa hapa UK. Nikaamua kuacha kazi na kutafuta kwenye sector nyingine. Lakini bado wakanifuata kwenye communities kuendeleza psychological bullying(Kwa nını wana ni bullied, hii ni story ndefu).

Lakini kilichoni affect na kunisukuma kuandika hapa ni hii. Mwezi March 23 nilianza ku experience balance issue, headaches plus other health issues( nina sababu za kutoziweka wazi kwa sasa). Nikaenda kwa GP(Doctor) akaoda vipimo vya damu lakini hawakukuta chochote kilichokuwa kinasababisha hizo episodes.

Kabla ya March, nilikuwa nina spend muda mrefu nyumba wakati applications za kazi zikiwa process.
Around March nikaanza kazi nyingine kwa hüyo muda mrefu nilikuwa sipo nyumbani. Zile health issues nazo zikapotea wakati huo nikadhania labda ilikuwa ni lack of exercise na lishe.

Lakini around August nikaanza ku experience intermittently kama electrical shocks nikiwa chumbani, haşa kwenye maeneo ya kichwa na baadae ikawa kawa sharp pain ya sindano (hii ni mara chache) pamoja na shock. Pia kuna hissing sound. Halafu baadae zile health issues nazo zikarudi.

Nikahisi itakuwa ni electromagnetic fields. Nikanunua EMF detector nilipoanza kuitumia ili detect presence of EMF mpaka 564v/m. Kwa sababu readings zilikuwa juu sana nikaona labda hiki chombo kinanidanganya. Lakini baada ya muda nikipima yale maeneo kunakuwa hakuna tena EMF.

View attachment 2823423
In meantime, strength ikawa inaongezezeka nikawa nina feel hizo shocks very strong.
Zimekuwa zinanifanya nashindwa kulala vizuri. Na nina feel effect zake nikiwa
mitaani hata kazini.
Nina amini kuna mtu au watu anakifaa ambacho kina emit hizo waves. Kuna mara mbili niliamka usiku sana nikigeuka ninasikia hatua za mtu akiwa anatembea
kutoka kwenye mlango wangu wa chumba(nikiwa nimelala huwa mlango wa chumba ninafunga kwa madani).
Mara kibao nimekuwa ninaamshwa na coughs na hewa chumbani na hisi tofauti mpaka niwanje mlango wazi kwa muda ndio na kikoozi kinapungua. KUNA SIKU NINAHISI SITA HAMKA LAKINI MUNGU MKUBWA.
Nimetilia mkazo kwenye kutafuta nyumba nyingine lakini bado sijapata.

Nimesharipoti Police mara tatu.

Ninahisi kiini cha haya yote ni research ambayo wame incite racism kama ngao, kujificha na kuwasadia ku achieve wanachotaka. Wengine ni entertainment na financial gain. SOME PEOPLE ARE PURE EVIL AND SADISTIC!!
nenda polisi bro, pia fikiria kurudi nyumbani bongo, huku hakuna hayo. pia, wakati yote hayo yanaendelea, jua Yesu Kristo anaweza kukusaidia na watesi wako hao wote, mpokee yeye ili uwe na uhakika wa maisha ya sasa na ya baadaye. Mungu awe nawe.
 
Mimi nimeishi London - UK kwa muda mrefu sasa hivi. Kufanya stori ndefu kuwa fupi, ninaishi kwenye share accommodation na watu kutoka West Africa na mmoja kutoka Asia.

Miaka ya karibuni nimekuwa bullied. Hii nilianza ku experience kutoka kwenye organisation mojo kubwa hapa UK. Nikaamua kuacha kazi na kutafuta kwenye sector nyingine. Lakini bado wakanifuata kwenye communities kuendeleza psychological bullying(Kwa nını wana ni bullied, hii ni story ndefu).

Lakini kilichoni affect na kunisukuma kuandika hapa ni hii. Mwezi March 23 nilianza ku experience balance issue, headaches plus other health issues( nina sababu za kutoziweka wazi kwa sasa). Nikaenda kwa GP(Doctor) akaoda vipimo vya damu lakini hawakukuta chochote kilichokuwa kinasababisha hizo episodes.

Kabla ya March, nilikuwa nina spend muda mrefu nyumba wakati applications za kazi zikiwa process.
Around March nikaanza kazi nyingine kwa hüyo muda mrefu nilikuwa sipo nyumbani. Zile health issues nazo zikapotea wakati huo nikadhania labda ilikuwa ni lack of exercise na lishe.

Lakini around August nikaanza ku experience intermittently kama electrical shocks nikiwa chumbani, haşa kwenye maeneo ya kichwa na baadae ikawa kawa sharp pain ya sindano (hii ni mara chache) pamoja na shock. Pia kuna hissing sound. Halafu baadae zile health issues nazo zikarudi.

Nikahisi itakuwa ni electromagnetic fields. Nikanunua EMF detector nilipoanza kuitumia ili detect presence of EMF mpaka 564v/m. Kwa sababu readings zilikuwa juu sana nikaona labda hiki chombo kinanidanganya. Lakini baada ya muda nikipima yale maeneo kunakuwa hakuna tena EMF.

View attachment 2823423
In meantime, strength ikawa inaongezezeka nikawa nina feel hizo shocks very strong.
Zimekuwa zinanifanya nashindwa kulala vizuri. Na nina feel effect zake nikiwa
mitaani hata kazini.
Nina amini kuna mtu au watu anakifaa ambacho kina emit hizo waves. Kuna mara mbili niliamka usiku sana nikigeuka ninasikia hatua za mtu akiwa anatembea
kutoka kwenye mlango wangu wa chumba(nikiwa nimelala huwa mlango wa chumba ninafunga kwa madani).
Mara kibao nimekuwa ninaamshwa na coughs na hewa chumbani na hisi tofauti mpaka niwanje mlango wazi kwa muda ndio na kikoozi kinapungua. KUNA SIKU NINAHISI SITA HAMKA LAKINI MUNGU MKUBWA.
Nimetilia mkazo kwenye kutafuta nyumba nyingine lakini bado sijapata.

Nimesharipoti Police mara tatu.

Ninahisi kiini cha haya yote ni research ambayo wame incite racism kama ngao, kujificha na kuwasadia ku achieve wanachotaka. Wengine ni entertainment na financial gain. SOME PEOPLE ARE PURE EVIL AND SADISTIC!!
Mtafutieni tiba huyu kwani huko hakuna mirembe za UK?
 
Rudi nyumbani au chukua likizo usafiri mbali na UK uone kama hali itaendelea ikiwezekana hama mji kubali kuanza upya
 
Kwa akili yangu ndogo upo kwenye hatari sana
Sasa hv uchawi uko very advanced wanachokifanya wanauchanganya na technology...hapo inakua balaa na ndio kinachokutokea...kama kuna research unafanya ya kuhusu racism na unajua itawagusa wakubwa rudi tu nyumbani..hao jamaa hawashindi kitu...Epstein Alikufa kwasababu angeharibu watu wengi..hata harvey weinstein anaeza kufa mda wowote

Rudi nyumbani!
 
Back
Top Bottom