Mkuu unge dadavua vzr tuweke wazi na ss wamakonde tuelewe kinaga ubaga.Kiufupi majirani zake wanamuwangia, ila siyo kwa ungo au hiziri bali vifaa vya kisasa vinavyotoa umeme unaomuathiri mmatumbi mwenzetu.
Hiyo ni "Spinning Propaganda," inavyoonekana huyu mtu yupo hapa hapa Tz, hiyo London na UK imetumika tu kama VIWAKILISHI ili kufikisha ujumbe kwa hadhira aliyokusudia kwa njia ya mafumbo.Mkuu unge dadavua vzr tuweke wazi na ss wamakonde tuelewe kinaga ubaga.
Report hayo mambo sehemu husika.Mimi nimeishi London - UK kwa muda mrefu sasa hivi. Kufanya stori ndefu kuwa fupi, ninaishi kwenye share accommodation na watu kutoka West Africa na mmoja kutoka Asia.
Miaka ya karibuni nimekuwa bullied. Hii nilianza ku experience kutoka kwenye organisation mojo kubwa hapa UK. Nikaamua kuacha kazi na kutafuta kwenye sector nyingine. Lakini bado wakanifuata kwenye communities kuendeleza psychological bullying(Kwa nını wana ni bullied, hii ni story ndefu).
Lakini kilichoni affect na kunisukuma kuandika hapa ni hii. Mwezi March 23 nilianza ku experience balance issue, headaches plus other health issues( nina sababu za kutoziweka wazi kwa sasa). Nikaenda kwa GP(Doctor) akaoda vipimo vya damu lakini hawakukuta chochote kilichokuwa kinasababisha hizo episodes.
Kabla ya March, nilikuwa nina spend muda mrefu nyumba wakati applications za kazi zikiwa process.
Around March nikaanza kazi nyingine kwa hüyo muda mrefu nilikuwa sipo nyumbani. Zile health issues nazo zikapotea wakati huo nikadhania labda ilikuwa ni lack of exercise na lishe.
Lakini around August nikaanza ku experience intermittently kama electrical shocks nikiwa chumbani, haşa kwenye maeneo ya kichwa na baadae ikawa kawa sharp pain ya sindano (hii ni mara chache) pamoja na shock. Pia kuna hissing sound. Halafu baadae zile health issues nazo zikarudi.
Nikahisi itakuwa ni electromagnetic fields. Nikanunua EMF detector nilipoanza kuitumia ili detect presence of EMF mpaka 564v/m. Kwa sababu readings zilikuwa juu sana nikaona labda hiki chombo kinanidanganya. Lakini baada ya muda nikipima yale maeneo kunakuwa hakuna tena EMF.
View attachment 2823423
In meantime, strength ikawa inaongezezeka nikawa nina feel hizo shocks very strong.
Zimekuwa zinanifanya nashindwa kulala vizuri. Na nina feel effect zake nikiwa
mitaani hata kazini.
Nina amini kuna mtu au watu anakifaa ambacho kina emit hizo waves. Kuna mara mbili niliamka usiku sana nikigeuka ninasikia hatua za mtu akiwa anatembea
kutoka kwenye mlango wangu wa chumba(nikiwa nimelala huwa mlango wa chumba ninafunga kwa madani).
Mara kibao nimekuwa ninaamshwa na coughs na hewa chumbani na hisi tofauti mpaka niwanje mlango wazi kwa muda ndio na kikoozi kinapungua. KUNA SIKU NINAHISI SITA HAMKA LAKINI MUNGU MKUBWA.
Nimetilia mkazo kwenye kutafuta nyumba nyingine lakini bado sijapata.
Nimesharipoti Police mara tatu.
Ninahisi kiini cha haya yote ni research ambayo wame incite racism kama ngao, kujificha na kuwasadia ku achieve wanachotaka. Wengine ni entertainment na financial gain. SOME PEOPLE ARE PURE EVIL AND SADISTIC!!
Hama huko la sivyo utakutwa maiti na mnavyoishi kisela bila kuoa Wala kuolewa ni hatari SanaMimi nimeishi London - UK kwa muda mrefu sasa hivi. Kufanya stori ndefu kuwa fupi, ninaishi kwenye share accommodation na watu kutoka West Africa na mmoja kutoka Asia.
Miaka ya karibuni nimekuwa bullied. Hii nilianza ku experience kutoka kwenye organisation mojo kubwa hapa UK. Nikaamua kuacha kazi na kutafuta kwenye sector nyingine. Lakini bado wakanifuata kwenye communities kuendeleza psychological bullying(Kwa nını wana ni bullied, hii ni story ndefu).
Lakini kilichoni affect na kunisukuma kuandika hapa ni hii. Mwezi March 23 nilianza ku experience balance issue, headaches plus other health issues( nina sababu za kutoziweka wazi kwa sasa). Nikaenda kwa GP(Doctor) akaoda vipimo vya damu lakini hawakukuta chochote kilichokuwa kinasababisha hizo episodes.
Kabla ya March, nilikuwa nina spend muda mrefu nyumba wakati applications za kazi zikiwa process.
Around March nikaanza kazi nyingine kwa hüyo muda mrefu nilikuwa sipo nyumbani. Zile health issues nazo zikapotea wakati huo nikadhania labda ilikuwa ni lack of exercise na lishe.
Lakini around August nikaanza ku experience intermittently kama electrical shocks nikiwa chumbani, haşa kwenye maeneo ya kichwa na baadae ikawa kawa sharp pain ya sindano (hii ni mara chache) pamoja na shock. Pia kuna hissing sound. Halafu baadae zile health issues nazo zikarudi.
Nikahisi itakuwa ni electromagnetic fields. Nikanunua EMF detector nilipoanza kuitumia ili detect presence of EMF mpaka 564v/m. Kwa sababu readings zilikuwa juu sana nikaona labda hiki chombo kinanidanganya. Lakini baada ya muda nikipima yale maeneo kunakuwa hakuna tena EMF.
View attachment 2823423
In meantime, strength ikawa inaongezezeka nikawa nina feel hizo shocks very strong.
Zimekuwa zinanifanya nashindwa kulala vizuri. Na nina feel effect zake nikiwa
mitaani hata kazini.
Nina amini kuna mtu au watu anakifaa ambacho kina emit hizo waves. Kuna mara mbili niliamka usiku sana nikigeuka ninasikia hatua za mtu akiwa anatembea
kutoka kwenye mlango wangu wa chumba(nikiwa nimelala huwa mlango wa chumba ninafunga kwa madani).
Mara kibao nimekuwa ninaamshwa na coughs na hewa chumbani na hisi tofauti mpaka niwanje mlango wazi kwa muda ndio na kikoozi kinapungua. KUNA SIKU NINAHISI SITA HAMKA LAKINI MUNGU MKUBWA.
Nimetilia mkazo kwenye kutafuta nyumba nyingine lakini bado sijapata.
Nimesharipoti Police mara tatu.
Ninahisi kiini cha haya yote ni research ambayo wame incite racism kama ngao, kujificha na kuwasadia ku achieve wanachotaka. Wengine ni entertainment na financial gain. SOME PEOPLE ARE PURE EVIL AND SADISTIC!!
Jifundishe, elimu haina mwisho.Mkuu unge dadavua vzr tuweke wazi na ss wamakonde tuelewe kinaga ubaga.
Kbsaa sijui nin kimempata na ameshindwa kuweka waziMkuu em summarize kwa. Kiswahili fasah....hueleweki
Hatari hiyo ipo hata hapa nchini Tz, yote aliyoeleza huyo hufanyika sana hapa kwetu Tz.Amna kitu hunifanya nione ni hatari kuishi mbali na nchi yangu hasa ikifika masuala ya afya
Mbona hakuna sehemu nimelalamika ?Jifundishe, elimu haina mwisho.
Wacha kubweteka na kulalamika kizamani.
nenda polisi bro, pia fikiria kurudi nyumbani bongo, huku hakuna hayo. pia, wakati yote hayo yanaendelea, jua Yesu Kristo anaweza kukusaidia na watesi wako hao wote, mpokee yeye ili uwe na uhakika wa maisha ya sasa na ya baadaye. Mungu awe nawe.Mimi nimeishi London - UK kwa muda mrefu sasa hivi. Kufanya stori ndefu kuwa fupi, ninaishi kwenye share accommodation na watu kutoka West Africa na mmoja kutoka Asia.
Miaka ya karibuni nimekuwa bullied. Hii nilianza ku experience kutoka kwenye organisation mojo kubwa hapa UK. Nikaamua kuacha kazi na kutafuta kwenye sector nyingine. Lakini bado wakanifuata kwenye communities kuendeleza psychological bullying(Kwa nını wana ni bullied, hii ni story ndefu).
Lakini kilichoni affect na kunisukuma kuandika hapa ni hii. Mwezi March 23 nilianza ku experience balance issue, headaches plus other health issues( nina sababu za kutoziweka wazi kwa sasa). Nikaenda kwa GP(Doctor) akaoda vipimo vya damu lakini hawakukuta chochote kilichokuwa kinasababisha hizo episodes.
Kabla ya March, nilikuwa nina spend muda mrefu nyumba wakati applications za kazi zikiwa process.
Around March nikaanza kazi nyingine kwa hüyo muda mrefu nilikuwa sipo nyumbani. Zile health issues nazo zikapotea wakati huo nikadhania labda ilikuwa ni lack of exercise na lishe.
Lakini around August nikaanza ku experience intermittently kama electrical shocks nikiwa chumbani, haşa kwenye maeneo ya kichwa na baadae ikawa kawa sharp pain ya sindano (hii ni mara chache) pamoja na shock. Pia kuna hissing sound. Halafu baadae zile health issues nazo zikarudi.
Nikahisi itakuwa ni electromagnetic fields. Nikanunua EMF detector nilipoanza kuitumia ili detect presence of EMF mpaka 564v/m. Kwa sababu readings zilikuwa juu sana nikaona labda hiki chombo kinanidanganya. Lakini baada ya muda nikipima yale maeneo kunakuwa hakuna tena EMF.
View attachment 2823423
In meantime, strength ikawa inaongezezeka nikawa nina feel hizo shocks very strong.
Zimekuwa zinanifanya nashindwa kulala vizuri. Na nina feel effect zake nikiwa
mitaani hata kazini.
Nina amini kuna mtu au watu anakifaa ambacho kina emit hizo waves. Kuna mara mbili niliamka usiku sana nikigeuka ninasikia hatua za mtu akiwa anatembea
kutoka kwenye mlango wangu wa chumba(nikiwa nimelala huwa mlango wa chumba ninafunga kwa madani).
Mara kibao nimekuwa ninaamshwa na coughs na hewa chumbani na hisi tofauti mpaka niwanje mlango wazi kwa muda ndio na kikoozi kinapungua. KUNA SIKU NINAHISI SITA HAMKA LAKINI MUNGU MKUBWA.
Nimetilia mkazo kwenye kutafuta nyumba nyingine lakini bado sijapata.
Nimesharipoti Police mara tatu.
Ninahisi kiini cha haya yote ni research ambayo wame incite racism kama ngao, kujificha na kuwasadia ku achieve wanachotaka. Wengine ni entertainment na financial gain. SOME PEOPLE ARE PURE EVIL AND SADISTIC!!
Mtafutieni tiba huyu kwani huko hakuna mirembe za UK?Mimi nimeishi London - UK kwa muda mrefu sasa hivi. Kufanya stori ndefu kuwa fupi, ninaishi kwenye share accommodation na watu kutoka West Africa na mmoja kutoka Asia.
Miaka ya karibuni nimekuwa bullied. Hii nilianza ku experience kutoka kwenye organisation mojo kubwa hapa UK. Nikaamua kuacha kazi na kutafuta kwenye sector nyingine. Lakini bado wakanifuata kwenye communities kuendeleza psychological bullying(Kwa nını wana ni bullied, hii ni story ndefu).
Lakini kilichoni affect na kunisukuma kuandika hapa ni hii. Mwezi March 23 nilianza ku experience balance issue, headaches plus other health issues( nina sababu za kutoziweka wazi kwa sasa). Nikaenda kwa GP(Doctor) akaoda vipimo vya damu lakini hawakukuta chochote kilichokuwa kinasababisha hizo episodes.
Kabla ya March, nilikuwa nina spend muda mrefu nyumba wakati applications za kazi zikiwa process.
Around March nikaanza kazi nyingine kwa hüyo muda mrefu nilikuwa sipo nyumbani. Zile health issues nazo zikapotea wakati huo nikadhania labda ilikuwa ni lack of exercise na lishe.
Lakini around August nikaanza ku experience intermittently kama electrical shocks nikiwa chumbani, haşa kwenye maeneo ya kichwa na baadae ikawa kawa sharp pain ya sindano (hii ni mara chache) pamoja na shock. Pia kuna hissing sound. Halafu baadae zile health issues nazo zikarudi.
Nikahisi itakuwa ni electromagnetic fields. Nikanunua EMF detector nilipoanza kuitumia ili detect presence of EMF mpaka 564v/m. Kwa sababu readings zilikuwa juu sana nikaona labda hiki chombo kinanidanganya. Lakini baada ya muda nikipima yale maeneo kunakuwa hakuna tena EMF.
View attachment 2823423
In meantime, strength ikawa inaongezezeka nikawa nina feel hizo shocks very strong.
Zimekuwa zinanifanya nashindwa kulala vizuri. Na nina feel effect zake nikiwa
mitaani hata kazini.
Nina amini kuna mtu au watu anakifaa ambacho kina emit hizo waves. Kuna mara mbili niliamka usiku sana nikigeuka ninasikia hatua za mtu akiwa anatembea
kutoka kwenye mlango wangu wa chumba(nikiwa nimelala huwa mlango wa chumba ninafunga kwa madani).
Mara kibao nimekuwa ninaamshwa na coughs na hewa chumbani na hisi tofauti mpaka niwanje mlango wazi kwa muda ndio na kikoozi kinapungua. KUNA SIKU NINAHISI SITA HAMKA LAKINI MUNGU MKUBWA.
Nimetilia mkazo kwenye kutafuta nyumba nyingine lakini bado sijapata.
Nimesharipoti Police mara tatu.
Ninahisi kiini cha haya yote ni research ambayo wame incite racism kama ngao, kujificha na kuwasadia ku achieve wanachotaka. Wengine ni entertainment na financial gain. SOME PEOPLE ARE PURE EVIL AND SADISTIC!!