Yanayojiri: Uchaguzi wa Marudio Kenya - Oktoba 26, 2017

971fd5fcd172113a935f95950553cdc0.jpg

55220ca34ad89014b2e5b69e3c52701e.jpg

ecc813e5bef6158c2e291d072b4924e9.jpg


Mashaka yameanza, hadi ambako uchaguzi umesitishwa matokeo yameanza kupatikana!
 
Mtihani unatunga mwenyewe, alafu unajisahishia mwenyewe, alafu unashangilia umefaulu, ila nitawashangaa CHADEMA kama wakiendelea kumpinga na kumkashifu Rais wa Zanzibar shain, huku wao wakiwa mstari wa mbele kumsapoti Uhuru kenyata, kwa kifupi uchaguzi haukuwa huru na haki, kwani demokrasia imebakwa. Mungu ibariki afrika, mungu ibariki Kenya.
 
Massive boycott. Big mistake Jubilee kulazimisha uchaguzi. Kenyans have spoken emphatically.
Duh hii ndo ile ya zanzibar vituo vipo vitupu halafu mtu atajisemea kashinda
Yeah, they have spoken emphatically through their democratic right to vote. 6million votes cast by 01:30pm. Swallow that!
Voters turnout kwenye uchaguzi uliofanyika tarehe 08.08.2017 ilikuwa 79.5% na jumla ya waliopiga kura walikuwa 15,593,050 ambapo Uhuru Kenyatta alitangazwa mshindi kwa kupata kura 8,200,000 hivi.

Sasa turnout ya uchaguzi wa leo ni 48%, nenda na hesabu hapo juu, maana yake waliopiga kura leo ni watu 9,413,476 yaan kura za Uhuru za uchaguzi wa tarehe 08.08 ongeza kama kur zingine Million 1 na ushee.

Hivyo kwa turnout hii basi Uhuru na Jubilee wameshinda na kuthibitisha kuwa ushindi walioupata tarehe 08 mwezi wa 8 ulikuwa sahihi.
 
Huijui Kenya hata robo, hata wakenya wenyewe wanakushangaa humu ndani, Kenya inaongoza Africa kwa extra judicial killings kutoka na report ya trasparency international 2017, Kenya insecurity inapambana na South Africa tu, na ikijitahidi mwakanni wataipita South Afrika, kwa demokrasia ya uhuru wa kujieleza na vyombo vya habari, tumewapita nafasi 11 tupo juu yao, tena tumeporomoka kipindi hiki cha Magufuli, kabla ya hapo tulikuwa tumewapita nafasi 18, huijui Kenya unaisikia tu.
Huijui Kenya wewe, unaujua uhuru wa kujieleza na wa vyombo vya habari?utalinganishaje Kenya na Tanzania kwenye hayo?

Wewe endelea na porojo za gazeti la Uhuru, Kenya huijui.
 
Back
Top Bottom