Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Michezo ya Raila hiyo. Uhuru hana muda wa kufanya ujinga ujinga. Mwambieni Raila kuwa anacho kifanya ni utoto.
Michezo ya Raila hiyo. Uhuru hana muda wa kufanya ujinga ujinga. Mwambieni Raila kuwa anacho kifanya ni utoto.
Ndiyo ujue hilo neno huru halina maana yoyote kama brains hazijawa huru bado zimejaa ukabila na ubaguzi, iyo huru haiwezi kuwa huru hadi kabila langu lishinde uchaguziHv Wakenya Wanataka Nini Jaman Tume Ipo Huru , Mahakama Ipo Huru , Ma Rc Na Ma Dc Wanachaguliwa Kwa Kura , Cjui Wanahitaji Nini Zaidi
Leo swahiba yenu mnamsema ana roho mbaya?Wakikuyu hawa mbona wanaroho mbaya hivi ?? Na huyu rutto anatumika tu wakikuyu hawatompa urais come 2022 Only time will tell
Duh, hivi bado kojua maana ya mkono wa sweta?! Ile mutu ambayo haijapitia kwenye irua inaitaje?Mkono wa sweta ndio nini vile?
Massive boycott. Big mistake Jubilee kulazimisha uchaguzi. Kenyans have spoken emphatically.
Duh hii ndo ile ya zanzibar vituo vipo vitupu halafu mtu atajisemea kashinda
Voters turnout kwenye uchaguzi uliofanyika tarehe 08.08.2017 ilikuwa 79.5% na jumla ya waliopiga kura walikuwa 15,593,050 ambapo Uhuru Kenyatta alitangazwa mshindi kwa kupata kura 8,200,000 hivi.Yeah, they have spoken emphatically through their democratic right to vote. 6million votes cast by 01:30pm. Swallow that!
Wakikuyu hawa mbona wanaroho mbaya hivi ?? Na huyu rutto anatumika tu wakikuyu hawatompa urais come 2022 Only time will tell
Ndiyo ujue hilo neno huru halina maana yoyote kama brains hazijawa huru bado zimejaa ukabila na ubaguzi, iyo huru haiwezi kuwa huru hadi kabila langu lishinde uchaguzi
Huijui Kenya wewe, unaujua uhuru wa kujieleza na wa vyombo vya habari?utalinganishaje Kenya na Tanzania kwenye hayo?Huijui Kenya hata robo, hata wakenya wenyewe wanakushangaa humu ndani, Kenya inaongoza Africa kwa extra judicial killings kutoka na report ya trasparency international 2017, Kenya insecurity inapambana na South Africa tu, na ikijitahidi mwakanni wataipita South Afrika, kwa demokrasia ya uhuru wa kujieleza na vyombo vya habari, tumewapita nafasi 11 tupo juu yao, tena tumeporomoka kipindi hiki cha Magufuli, kabla ya hapo tulikuwa tumewapita nafasi 18, huijui Kenya unaisikia tu.