PROF PHILOSOPHY
Senior Member
- Oct 17, 2012
- 142
- 40
Rais aache kulalamika. Aoneshe uongozi. Afanye maamuzi magumu. Lakini kama walishindwa kufanaya maamuzi magumu kwa lowasa, ni vigumu sana kwa sasa. Huu ni mwanzo wa mwisho wa ccm. Nakushauri (why by name) vua gamba vaa gwanda.