hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
Hapo ni sawa na kumruhusu binti yako afanye ufuska ila asipewe mimba.Rushwa ni adui wa haki hairuhusiwi kutoa wala kupokea rushwa
Mkuu, nzuri sana hii!..sasa sijui tumueleweje JK.
Hapo ni sawa na kumruhusu binti yako afanye ufuska ila asipewe mimba.Rushwa ni adui wa haki hairuhusiwi kutoa wala kupokea rushwa
Sawa na kusema ''mwali kunywa bia zake na gesti usiende''....ushauri gani huu
Hii nayo ni nini tena? Bujibuji , Safari_ni_SafariSawa na kusema ''mwali kunywa bia zake na gesti usiende''....ushauri gani huu
hivi kuna vijana bado wapo ccm??? ni majanga TAIFANI mwetu!!
JK said:"Nimeyasema haya ni lazima tufike mahali tutambue kuwa haya si mazuri na yanapohusisha mpaka wanawake, maana zamani nilidhani haya mambo ni ya wanaume tu, lakini sasa hadi wanawake ndio tena tumekwisha. Tunakoelekea sio kuzuri sana na kama hatutafanya jitihada ya makusudi kubadiliks, tupo hapa mtakuja kunieleza jinsi mtakavyoelekea kwenye shimo." Source: Nipashe
sawa na kusema ''mwali kunywa bia zake na gesti usiende''....ushauri gani huu
Hakuna kijana yupo CCM alikuwa anahutubia kikundi cha watoto wa viongozi wa CCM.....
hao vijana majority wakipimwa akili, wataonekana wana matatizo makubwa! TUFIAKWA!!!! kuliko niwe ccm, ni bora kuwa sina chama!! GOD FORBIDS!!huo mkutano pekee una wajumbe wapatao 1300.achilia mbali wale waliopo ngazi za chini ambao wanaishia kwenye matawi kata na mashina.wewe peke ako ndio uko huko lakini vijana wenye akili timamu wapo ccm
ahsante MKALIKENYA kwa kunijuza!!Hakuna kijana yupo CCM alikuwa anahutubia kikundi cha watoto wa viongozi wa CCM.
Hii nayo ni nini tena? Bujibuji , Safari_ni_Safari
Du unataka waende uamsho?hivi kuna vijana bado wapo ccm??? ni majanga TAIFANI mwetu!!