idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,314
Wewe sio ndiyo yule ilieleta propaganda kuwa Magufuli alimnadi Chenge wakati ni uongo.Mgombea urais kwa tiketi ya CCM upande wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu John Magufuli ameonja joto ya jiwe leo akiwa jimbo la Kigoma mjini, imethibitika.
Baada ya wasanii mbalimbali kutumbuiza kwenye jukwaa, wananchi walisikika wakisema kuwa wameshatosheka na tamasha na sasa wanaondoka zao. Walipoulizwa wanasema nini ndipo walipopaza sauti kuwa ni Zitto na Lowassa tosha huku wakipunga mikono kuhashiria kuaga.
Baada ya muda mfupi uwanja ulibaki na mashabiki walioambatana na Magufuli wakiwa wameketi jukwaa la mbele.
Hii ni mara ya nne kwa Magufuli kukataliwa hadharani baada ya kufanyiwa hivyo Njombe, Mbeya na Songea mjini.
Hizo propaganda za kipuuzi mkapigie huko mitaani humu wengi wanauelewa.