Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,756
- 20,490
Sasa anazuia matusi halafu yeye mwenyewe anatukana!Mwenyekiti amekemea wote watakaotoa matusi ...
samwe sitta anatoa maneno ya mwongozo na anamnanga kubenea. anasema kuwa kubenea ni mchekeshaji, yeye pamoja na wafadhili wake...