mkuu nakubaliana na ww kama magamba wataendelea kubaki madarakani;ila kama wakitemwa 2015 tanganyika yetu itapatikana.
Hao unao wita magamba jua wamewekeza kwa wananchi kila kona.CCM can never end kwagarama yoyote
mkuu nakubaliana na ww kama magamba wataendelea kubaki madarakani;ila kama wakitemwa 2015 tanganyika yetu itapatikana.
mkuu watakuwa wajinga sana kwani misri na kwingineko hawakuwa na hawa Watu?kumbuka hao Watu wengine ni baba zetu,shemeji zetu,wajomba wetu,mama zetu,dada zetu,wadogo na kaka zetu.so wanapotutendea udhalimu wanawatendea na wao pia.mimi kinachonifurahisha ni kwamba wanatuhimiza kwa nguvu zote tujitambue....note:ukila na kipofu................but wao wanafanya tofauti.
Kweli kubenea komedi hilo mbona liko wazi hachelewi kujiteka halafu anasema katekwa hovyo kabisa.
ila inaweza kubabaishwa na mafisadi wachache!hongera kwa upeo mkubwa uliojaaliwa!
Badala ya kusoma maoni yawachache ya sura namba 7, 8 ,14 na mpya kama walikuwa nazo , Mohamed Arfi akaanza kusoma kimemo ambacho alikuwa akipiga chabo kwa pembeni chenye kuongelea serikali 3 , maneno ambayo ni ya sura namba 1 a 6. Ni mwanakamati mwenzake aliyemshutukia akipiga chabo na kuomba taarifa kwa mwenyekiti ili asome walichojadili na siyo kimemo na kwamba akimaliza walichojadili ndipo aseme ya kwenye kimemo.
Mwenyekiti anawapa matumaini, waheshimiwa wwbunge wasikatishwe tamaa na kejeli.
Na hiyo rifarendam si wataichakachua? Mi naona kwa sasa tumenasa, hatuna pa kutokea.
Mkuu, umetumia falsafa gani kwenye hili andiko lako?
green guard mkuu si blue guard.