ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,116
- 49,840
Kiufupi Majiji ya Mbeya na Tanga Yako nyuma sana linapokuja Suala la Ujenzi wa Majengo ya Magorofa be it ya biashara au Serikali ukilinganisha na Mwanza,Arusha,Dom na baba lao Dar.
Yaani hata Manispaa ya Morogoro inazidi.
Inakuaje Mwaka mzima kuanzia January Hadi disemba ndani ya Jiji wanajenga mogorofa chini ya 10?
Kwa upande wa Viwanda Wanafanya vizuri ila Kwa Magorofa hapana tena afadhari hata Tanga sio Mbeya.Hadhi na heshima ya Jiji ni Uwepo wa Magorofa.
View: https://www.instagram.com/reel/C13-nxENBY5/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Yaani hata Manispaa ya Morogoro inazidi.
Inakuaje Mwaka mzima kuanzia January Hadi disemba ndani ya Jiji wanajenga mogorofa chini ya 10?
Kwa upande wa Viwanda Wanafanya vizuri ila Kwa Magorofa hapana tena afadhari hata Tanga sio Mbeya.Hadhi na heshima ya Jiji ni Uwepo wa Magorofa.
View: https://www.instagram.com/reel/C13-nxENBY5/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==