ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,592
- Thread starter
- #21
Hii Sasa ni chumvi,ni kweli Barabara ni chache na finyu na zimechimbika zote ila ni uongo kusema eti sawa na Wilaya.Niko Mbeya kwa Sasa, kila nikitazama nashindwa kuelewa kama Niko kwenye Jiji
Barabara hafifu, yaani ni kama makao makuu ya wilaya.
MBEYA Ina umaarufu usiostahili kabisa.