Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,295
- 6,342
Alafu sazingine utumie akilikidogo, mbona hiyo taarifa haija mtaja rais.
Hatahivyo sioni haja ya kuongeza kipindi cha mbunge kuwa miaka saba ni uroho wa madarakatuu.
Alafu sazingine utumie akilikidogo, mbona hiyo taarifa haija mtaja rais.
Kwani ikipitishwa leo, itaanza kutumika kwenye awamu hii? Siyo awamu ya kuanzia 2020 -?Huyu ana matatizo yake binafsi. Ameona muda unayoyoma na pengine uhakika wa kurejea mjengoni hana anaanza kampeni isiyokuwa na mashiko.
[HASHTAG]#prayfortundulissu[/HASHTAG]
I don't believe my eyes now,may be,alieturoga amefufuka.Inasikitisha sana
Natamani malaika waizime mitandao ya kijamii.....pogba duma 200009999Ukiwa muoga sana,ipo siku utakimbia hata kivuli chako.
Mnamsingizia Magufuli kwamba amebana maisha yamekuwa magumu. Acheni dhambi! Mzee sio kwamba amebana, Mzee ameshindwa kuboresha hali ya maisha ya watanzania.
You need to know that!
Hii kitendo ya kukopa kwa siri, bila kushirikisha bunge, na kukanusha hadi wakopeshaji wenyewe ndio wanasema hadharani, ni maelezo tosha.
[HASHTAG]#PrayForLissu[/HASHTAG]