Nakumbuka walivyoua zanzibar walisema askari walikuwa wanajilinda sababu waandamanaji walibeba silaha, sasa sijui ARUSHA waliua sababu gani. RIP. RAHA YA MILELE UMPE EEH BWANA, NA MWANGA WA MILELE UMUANGAZIE,APUMZIKE KWA AMANI.
So sad. Hii naona walikusudia kabisa maana kama ni kuumiza tu wangepiga sehemu nyingine ya mwili. But on the chest, no I can not believe if that was not a staged issue. But CHADEMA, viongozi wa dini and other well wishers tuendelee kuwaelimisha wananchi kuhusu ubaya wa hawa SSM ili 2015 uamuzi sahihi zaidi ufanyike kupitia kwa wapiga kura. Tired.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.