Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Inauma,machoz yanitiririka R.I.P. Kuna raha gan hapa! Ujinga wa CCM kukataa kujadiliana na CDM kuhusu umeya!
poleni sana Arusha,yote mwachieni Mungu atahukumu!
Kikwete Endelea Kula Kuku kamanda, sikutofautishi na Jambazi mwingine yeyote, ninachoweza kusema ninawaombea Mungu awabadilishe kama alivyo mbadilisha SAuli Mpinga Kristo na kuwa Paulo wa Leo. Matendo 9:1-22.
Ni kweli Mungu anampango na Tanzania, na pia ujue kuwa amani haiji ila kwa ncha ya upanga.
Tunawaombea Marehemu hawa Mungu awaweke pema peponi, roho wa marehemu wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa amani Amina!
Can someone please supply me with the names, age, gender of the people who were killed by the police in Arusha?
IGP Mwema, kwa mujibu wa taarifa za kiintelegensia, ni nani aliyemuua huyu mtanzania? Utueleze tu taratibu tutaelewa. Ni nani na kwa nini? Mtanzania huyu alikuwa tishio kwa amani ya eneo alilokuwepo? Ki vipi? Alikuwa na silaha? Askari aliyempiga risasi alikuwa umbali gani? Kama alishindwa kumdhibiti hakuweza kumpiga risasi ya mguu? Kumpiga risasi mtu kifuani, ambaye hakuwa na silaha ni mauaji. Aliyefanya hivyo anapaswa kushtakiwa kwa mauaji ya makusudi.
Unajua hii picha huyu kijana alipigwa risasi na mwenye Bar huko Ilala Bungoni Bar inaitwa Miami hii sio Arusha
Don Killuminati analete utani sasa!..Hii picha siyio ya Arusha.Si vyema kutumia picha za matukio mengine kuhusisha na Arusha.Hujawatendea haki ndugu na jamaa wa karibu wa ndugu wa marehemu (kwenye picha)!