Mbona wahudhuriaji ni 3467?Hizo kadi za wanachama ziko wapi?? Au ni ya mfalme juha??
Ni pigo kali kutokea kwa chadema. CCM kweli wanafanya kampeni za kisayansi.
Hizo kadi za wanachama ziko wapi?? Au ni ya mfalme juha??
Magufuli njia nyeupe.
hizo ni zile kadi zenu feki za kuprint kwenye komputa,lakini kikubwa zaidi ni usubiri mziki si bado siku 18 tu leo,ndo mtajua msema kweli alikuwa nani
Lumumba team wangese tu
We chok mkutano wenu wa chauso lumumba saa ngapi hehehe ngeke nyieAmir jeshi mkuu wa awamu ya tano tena wa viwango,
Hizo 10000 mnazopewa na masabur zitawatokea puani Waulize wenzenu nini wamefanywAUzoefu wako wa matusi sio hapa tu tangu kwa baba yako,ukamtukana slaa aliyekufa ujue ukiwa wako,so hautashidwa kumtukana watu humu,rahana ya matusi unatembea na wewe,